Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
Jamani naombeni kuwaulizeni wanaume hivi huwa mnaoa ili nini?
Labda -upate mtu wa kusex nae siku yoyote ukitaka?
-au upate watoto?
-au kuridhisha tu jamii na wewe ulioa au
- Ulipata mwanamkeakakulazimisha umuo
- ama ni nini?
maana kiukwelipersonaly kila mtu ananipigia kelele niolewe lakini kiukweli sijui maana ya ndoa,wala nikiwauliza watu maana yake hawanipi majibu ya kuniridhisha hata nikisemanijifunze kwa vitendo kwa kuangalia ndoa zenyewe ndo nabaki hoi kabisa
Yes siwezi kusema maisha yangu yapo full satisfied naitajihappiness but sijui kama ndoa ndo itakuwa jibu au solution ya kunipa furahamaishani.....
Ngojeni niwape mifano..but msinielewe vibaya..one daynilikuwa natafuta nyumba ..nikapata nyumba moja huyo kijana alikuwa anatakakuhama ..akanitongoza lakini wiki mbili mbele ndo alikuwa anafunga ndoa ..kwelinilishangaa sana hadi sasa ananitakajust imagine ndoa changaaa eti anadai hakuniona mapema mimi wala sina uzuriwowote basi tu uzinzi wake ..nashindwa kuelewa ningekuwa na roho ya zinaanimkubali hii ndoa ingekuwaje?
Kuna Yule jirani niliwaambia nae ndoa yake changaa wanaitana honey honey mwanamke akigeuka tu anakukonyeza nahisi hata anammendeabeki 3 wangu .hadi nahama nyumba mwezi huu maana ni usumbufu mtupu
Nikiangalia na mashost zangu wenye ndoa ni vilio vitupu
Hebu cheki hapa hi isms ni ya shoga yangu kanitumia jmos inimebaini kuwa mume wangu anatembea na msichana wakazi.Nimeligundua hilo kwa kuwa mume wangu hatulii room wakati wa ucku,nimeamuakumbana binti akanieleza ukweli ictoshe kwa sasa mi mjamzito nifanyeje best..kiukwelinilimshauri tu abaki na mumewe na amtimue beki 3 but daaah ni story ndefu
Hebu niambieni tu maana ya ndoawapendwa au ndoa zilikuwa zamani?
Maana kwa sasa kila mtu anaweza kutoka na yoyote mahali popote navoona yaanimaisha ni mambo ya kambi popote sijui... naombeni majibu....
Labda -upate mtu wa kusex nae siku yoyote ukitaka?
-au upate watoto?
-au kuridhisha tu jamii na wewe ulioa au
- Ulipata mwanamkeakakulazimisha umuo
- ama ni nini?
maana kiukwelipersonaly kila mtu ananipigia kelele niolewe lakini kiukweli sijui maana ya ndoa,wala nikiwauliza watu maana yake hawanipi majibu ya kuniridhisha hata nikisemanijifunze kwa vitendo kwa kuangalia ndoa zenyewe ndo nabaki hoi kabisa
Yes siwezi kusema maisha yangu yapo full satisfied naitajihappiness but sijui kama ndoa ndo itakuwa jibu au solution ya kunipa furahamaishani.....
Ngojeni niwape mifano..but msinielewe vibaya..one daynilikuwa natafuta nyumba ..nikapata nyumba moja huyo kijana alikuwa anatakakuhama ..akanitongoza lakini wiki mbili mbele ndo alikuwa anafunga ndoa ..kwelinilishangaa sana hadi sasa ananitakajust imagine ndoa changaaa eti anadai hakuniona mapema mimi wala sina uzuriwowote basi tu uzinzi wake ..nashindwa kuelewa ningekuwa na roho ya zinaanimkubali hii ndoa ingekuwaje?
Kuna Yule jirani niliwaambia nae ndoa yake changaa wanaitana honey honey mwanamke akigeuka tu anakukonyeza nahisi hata anammendeabeki 3 wangu .hadi nahama nyumba mwezi huu maana ni usumbufu mtupu
Nikiangalia na mashost zangu wenye ndoa ni vilio vitupu
Hebu cheki hapa hi isms ni ya shoga yangu kanitumia jmos inimebaini kuwa mume wangu anatembea na msichana wakazi.Nimeligundua hilo kwa kuwa mume wangu hatulii room wakati wa ucku,nimeamuakumbana binti akanieleza ukweli ictoshe kwa sasa mi mjamzito nifanyeje best..kiukwelinilimshauri tu abaki na mumewe na amtimue beki 3 but daaah ni story ndefu
Hebu niambieni tu maana ya ndoawapendwa au ndoa zilikuwa zamani?
Maana kwa sasa kila mtu anaweza kutoka na yoyote mahali popote navoona yaanimaisha ni mambo ya kambi popote sijui... naombeni majibu....