Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka zangu na Dada zangu kwanini..mnakua rude..
Ivi mwafikiri natania hapa.
Kumbukeni wengne tumesoma seminari all our educational life..
Guyz!
Umri wa nin.. Im matured.
Kuna dem nachat nae na cm..
Kaniambia leo eti sauti yangu nzuri sana maskioni mwake..
Yani uwa anataka niendelee ongea tu
nikimpigia..
Cjui nifanyeje nimekosa
neno la kumjibu...sijawah ambiwa hvyo
Nifanyeje.?
KARIBUNI
Kwani sauti yako ikoje? Kibesi au nyembamba? Kama kibesi atakuwa kakwambia kweli...kama nyembamba kakupaka mafuta na mgongo wa chupa.
Mi nadhani mtu ukisifiwa na sifa kweli unayo utajua tu. Sasa kushangaa kwako kunafanya nihisi labda unadanganywa
Kuna dem nachat nae na cm..
Kaniambia leo eti sauti yangu nzuri sana maskioni mwake..
Yani uwa anataka niendelee ongea tu
nikimpigia..
Cjui nifanyeje nimekosa
neno la kumjibu...sijawah ambiwa hvyo
Nifanyeje.?
KARIBUNI