Nimechaguliwa first round kumbe cjachaguliwa

Nimechaguliwa first round kumbe cjachaguliwa

junii

Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
11
Reaction score
1
Naomba msaada nimechaguliwa first round udsm but cjawa admitted na profile inaonesha nimechaguliwa udsm na kozi husika niliyochagua.
na udsm wametoa batch 2 lkn bado sipo mwenye msaada na cku zinaenda?
 
Naomba msaada nimechaguliwa first round udsm but cjawa admitted na profile inaonesha nimechaguliwa udsm na kozi husika niliyochagua.
na udsm wametoa batch 2 lkn bado sipo mwenye msaada na cku zinaenda?

hueleweki mkuu
 
hueleweki mkuu

yani iko ivi walvyotoa majina ya frst round kwny profile nliandikiwa succesful
ina maana hawakuniambia nifanye second round but majina ya chuo yametoka batch 1 &2 lkn mimi jina langu halipoo mkuu
 
Naomba msaada nimechaguliwa first round udsm but cjawa admitted na profile inaonesha nimechaguliwa udsm na kozi husika niliyochagua.
na udsm wametoa batch 2 lkn bado sipo mwenye msaada na cku zinaenda?

Nenda chuo kachukue join instruction from there ndio utajua
 
aaah poa,poa maana tcu ni wasen**rema knoma yan
 
aaah poa,poa maana tcu ni wasen**rema knoma yan

Acha matusi kijanaa....umesaidiwa fuata maelezo habari kwisha habar za kuanza kutukan zinaanzia wapi...ukishafuat hiyo form ndo mambo mengine yatajulikan haphapo chuo...
 
Acha matusi kijanaa....umesaidiwa fuata maelezo habari kwisha habar za kuanza kutukan zinaanzia wapi...ukishafuat hiyo form ndo mambo mengine yatajulikan haphapo chuo...

we nawe kuna tusi gan hapo dzain nimefanyia km kbwagzo tu
ila tenx kwa ushaur
 
Back
Top Bottom