Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 925
- 1,824
Huyo mama mkwe ni jipu, itakuwa alishirikishwa tokea mkeo alivyogundua anaujauzito usiokuwa wako, wakakupima akili wakaona wewe watakumudu ndo maana hata majibu yake ni ya kingese namna hiyo.Kaka mtu kasema hata yy ni mwanaume hawezi kukubaliana na mke wake kuzaa nje ya ndoa ni bora angefanya mapenzi tu kama kweli alikua amezidiwa ikaisha lkn sio kuzaa nje hiyo ni dharau akanambia nimpeleke kwao
Mama mkwe yy anamtetea mtoto wake ananiuliza wakati anazaa nje wewe ulikua wapi nikakata cmu sikutaka kuendelea kumsikiliza
Tatizo jingine huyu wife analazimisha kua ataondoka ila lazima aondoke na watoto wake wote,
Probably huyo mwenye mtoto ni mtu mwenye uwezo kiasi flan ndo maana wanajiaminisha kuwa hakuna hasara.
Sasa hivyo alivyoondoka kwenda kwao ndo iwe mwanzo na mwisho wa kuwa Karibu na hiyo familia, yaani ikiwezekana hata usionane wala kuwasiliana na mmojawapo wa wanafamilia hiyo.
Leo watoto wako, wanawake wa kukata hamu wapo kibao, baaadaye ukitaka kuoa tena unaweza pia.
Mshirikishi wakili wako kwa siri kama mna mali nyingi ili ujue namna ya kumkwepesha ikitokea wakarudi kuja kukusumbua. Focus kutengeneza maisha yako na wanao.