Nimebaini: BRT imeshaingiza bilioni 100 ndani ya mwaka mmoja

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,063
40,724
Hii nimeipata kwa hesabu rahisi tu nilizofanya. BRT inasafirisha wastani wa abiria takriban 400,000/= kwa siku. Kila abiria analipa si chini ya 650/=
1.)400,000 x 650/= unapata 260,000,000/= (yaani milioni mia mbili sitini).
2.) Kwa mwezi inakuwa 260m x 30 days unapata Bilioni 7.8
3.).Kwa mwaka inakuwa 7.8B x 12 months unapata 93.6B, hii ni sawa na kusema wameingiza gross income ya Bilioni 100.
Maswali:
1.) Kwa kuwa huu mradi umetekelezwa kwa mkopo wa benki ya dunia wa takriban dola milioni 132, na sisi watz ndio tutakaokamuliwa damu ili kulipa mkopo huo, hawa BRT wameshatoa gawio kiasi gani kwa serikali hadi sasa ili iweze kusaidia kulipa mkopo huo benki ya Dunia?

 
Hii nimeipata kwa hesabu rahisi tu nilizofanya. BRT inasafirisha wastani wa abiria takriban 400,000/= kwa siku. Kila abiria analipa si chini ya 650.
1.)400,000 x 650/= unapata 260,000,000/= (yaani milioni mia mbili sitini).
2.) Kwa mwezi inakuwa 260m x 30 days unapata Bilioni 7.8
3.).Kwa mwaka inakuwa 7.8B x 12 months unapata 93.6B, hii ni sawa na kusema wameingiza gross income ya Bilioni 100.
Maswali:
1.) Kwa kuwa huu mradi umetekelezwa kwa mkopo wa benki ya dunia wa takriban dola milioni 132, na sisi watz ndio tutakaokamuliwa damu ili kulila mkopo huo, hawa BRT wameshatoa gawio kiasi gani kwa serikali hadi sasa ili liweze kusaidia kurudisha mkopo huo benki ya Dunia?


Na kama ingepata hasara maana yake NMB ingefirisika!
 
Kwenye Uzinduzi Mwezi wa Kwanza 2017
Walisema kuwa huwa wanabeba wastani wa 60,000 kwa siku

Hiyo 400,000 umeitoa wapi?

Kumbuka kuna wanafunzi kibao wanapanda kwwnye hayo magari
Watu wanaolipa nauli ya 650 hawafiki 50,000 kwa siku
 
Kwenye Uzinduzi Mwezi wa Kwanza 2017
Walisema kuwa huwa wanabeba wastani wa 60,000 kwa siku

Hiyo 400,000 umeitoa wapi?

Kumbuka kuna wanafunzi kibao wanapanda kwwnye hayo magari
Watu wanaolipa nauli ya 650 hawafiki 50,000 kwa siku
Nimetoa kwenye hiyo video ya world bank
 
Nimetoa kwenye hiyo video ya world bank

Mi yangu nimeyatoa kwenye maelezo ya ufunguzi mwezi uliopita
Kwa hiyo idadi ya watu na mabasi yaliyopo hiyo idadi ni kubwa sana

400000 gawa kwa mabasi 140 yaliyopo itabidi yapige trip 2857
Ili hao watu waishe
Je ni kweli magari hayo yanaweza fika hizo trip kwa siku? Mchana magari mengi yamelazwa maana watumiaje wachache
 
Jamaa angekua na miaka mingi madarakani huu mradi ungekua wa mtu binafsi

cc G..M
 
Wewe hata biashara ya genge huiwezi, unafikiri mabasi yanaendeshwa na upepo? Na je huo mradi hauna wafanyakazi? Service ya magari je?
 
Kwenye Uzinduzi Mwezi wa Kwanza 2017
Walisema kuwa huwa wanabeba wastani wa 60,000 kwa siku

Hiyo 400,000 umeitoa wapi?

Kumbuka kuna wanafunzi kibao wanapanda kwwnye hayo magari
Watu wanaolipa nauli ya 650 hawafiki 50,000 kwa siku
Hawa jamaa wana ma bus mangapi yenye uwezo wa kubeba abiria wangapi kwa trip?
Bus moja linafanya trip ngapi kwa siku?
 
Nimetoa kwenye hiyo video ya world bank
Mradi ukiisha ndio utakuwa na uwezo wa kusafirisha idadi hiyo, inawezekana wakafikia au ikashindikana kutokana na changamoto nyingine lakini kwa sasa bado hata nusu yake haijafikiwa.
 
Kwenye Uzinduzi Mwezi wa Kwanza 2017
Walisema kuwa huwa wanabeba wastani wa 60,000 kwa siku

Hiyo 400,000 umeitoa wapi?

Kumbuka kuna wanafunzi kibao wanapanda kwwnye hayo magari
Watu wanaolipa nauli ya 650 hawafiki 50,000 kwa siku
Pointless
 
Back
Top Bottom