Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,495
Nataka niwe karibu na Mungu, nataka Mungu aongee na mimi kupitia kitabu cha biblia, Safari yangu ya kusoma biblia ni nzuri sana na kila ninaposoma nafarijika na kujiona nimekuwa tofauti na zamani. naona biblia inaweza kuwa njia sahihi ya kuniweka kwenye mstari sahihi wa maisha yangu.
Biblia imeanza kunipa picha halisi ya maisha ya zamani, sasa na yanayokuja.
Kumbe hii Dunia ya sasa imeshazungumzwa siku nyingi katika biblia kwamba tutapita katika nyakati kama hizi.
Kumbe itafikia wakati binadamu hwatamuamini Mungu, kumbe mashoga yatakuwepo katika Dunia hiii kama tunavyoona sasa na mengine yalivyo sasa yote yamezungymzwa katika Biblia.
Swali, Biblia ilijuaje hayo yote katika miaka 2000 iliopita kama kweli na akili ya mwanadamu?. Hakika huu si uwezo wa mwanadamu.
Ngoja niendelee kusoma….
Biblia imeanza kunipa picha halisi ya maisha ya zamani, sasa na yanayokuja.
Kumbe hii Dunia ya sasa imeshazungumzwa siku nyingi katika biblia kwamba tutapita katika nyakati kama hizi.
Kumbe itafikia wakati binadamu hwatamuamini Mungu, kumbe mashoga yatakuwepo katika Dunia hiii kama tunavyoona sasa na mengine yalivyo sasa yote yamezungymzwa katika Biblia.
Swali, Biblia ilijuaje hayo yote katika miaka 2000 iliopita kama kweli na akili ya mwanadamu?. Hakika huu si uwezo wa mwanadamu.
Ngoja niendelee kusoma….