Nimeamua tushirikishane kuhusu Biashara ya Mkaa

Mbepo yamba

JF-Expert Member
Aug 5, 2012
1,110
1,475
Ni mkaa kutoka Chunya kwenda popote Tanzania kwenye soko zuri zaidi. Preferably mkaa uje Dar es Salaam kwa sababu ndiko kwenye soko la uhakika na lenye bei nzuri zaidi.

Nimesajiliwa kuzalisha mkaa kutoka Chunya kwa mwaka huu wa uzalishaji ila tatizo ni uhaba wa mtaji uliotokana na changamoto kadhaa zilizoibuka kati ya mwezi September na November.

Nilishatoa mkaa mwezi September kwenda Mbeya kwa hiyo tayari Nina ujuzi angalau wa usafirishaji halali wa mkaa.

Nakaribisha mtu mwenye mtaji tushirikiane naye. Mpaka sasa kuna maandalizi yanaendelea shamba ili kuendelea kuvuna mkaa. Potential ya mkaa pale ni gunia 5000.

Karibu kwa maoni yako na interested person anaweza kuja inbox

Asante
 
Naishauri serikali iounguze bei ya gesi na iweke uzuwiaji wa ukataji miti ikimlenga muuza mkaa ili kuepuka janga la ukame
Mkaa hauepukiki na hii roho mbaya haijengi mkuu.

Kwanza kuna usafishaji mashamba ambapo kama usiporuhusu tuchome mkaa basi tutayachoma tuu hayo magogo na hutopata faida wala sintopata faida ya fedha. Unadhani ni shilingi ngapi serikali itapoteza? Well, nitafyeka nichome moto. Halafu?

Pili chakula cha mkaa huwezi fananisha na cha kwenye gesi hata kidogo. Cha mkaa kitamu sana yaani.

Mkaa hauchomwi bila ruhusa ya serikali. Yaani panaruhusiwa kuvunwa eneo ambalo watu wanafungua mashamba. Sasa kwa akili yako hii utakataza watu wasifungue mashamba. Halafu? Mbaki kujipiga kifua kuwa "tuna eneo la kuilisha Afrika nzima".
 
Dah hizo gunia 5000 ukikata mara tatu si unamaliza miti huko mkoani kwenu nyie ndio mnaofanya mvua kuchelewaa
Pic%20Layer_2021111311215721.jpg
 
Mkaa hauepukiki na hii roho mbaya haijengi mkuu.

Kwanza kuna usafishaji mashamba ambapo kama usiporuhusu tuchome mkaa basi tutayachoma tuu hayo magogo na hutopata faida wala sintopata faida ya fedha. Unadhani ni shilingi ngapi serikali itapoteza? Well, nitafyeka nichome moto. Halafu?

Pili chakula cha mkaa huwezi fananisha na cha kwenye gesi hata kidogo. Cha mkaa kitamu sana yaani.

Mkaa hauchomwi bila ruhusa ya serikali. Yaani panaruhusiwa kuvunwa eneo ambalo watu wanafungua mashamba. Sasa kwa akili yako hii utakataza watu wasifungue mashamba. Halafu? Mbaki kujipiga kifua kuwa "tuna eneo la kuilisha Afrika nzima".
Mkuu sio roho mbaya, nadhani roho mbaya ni ya yule ambaye anajua kabisa kuwa uwepo wa misitu unasaidia upatikanaji wa mvua na kutokana na mvua watu wanapata kulima na Mungu huwabarikia na kupata mazao

Sasa mtu anayetaka kusababisha ukame kwa kuangalia tumbo lake na familia yake na yule anayetaka kunufaisha watanzania na matumbo yao kwa ujumla tena huenda hata na majirani, yupi ana roho mbaya !?

Mimi nimesema naishauri Serikali ipunguze bei ya Gesi ili kuepuka tatizo hilo, wewe unaangalia tumbo lako tu, mkuu hujioni una roho mbaya sana?

Tuishauri serikali ifanye mamuzi magumu maana gesi tunayo nyingi tu sasa kwanini watuuzie mtungi15kg kwa 50,000/=?

Nadhani sasa umenielewa vizuri
 
Mkuu sio roho mbaya, nadhani roho mbaya ni ya yule ambaye anajua kabisa kuwa uwepo wa misitu unasaidia upatikanaji wa mvua na kutokana na mvua watu wanapata kulima na Mungu huwabarikia na kupata mazao

Sasa mtu anayetaka kusababisha ukame kwa kuangalia tumbo lake na familia yake na yule anayetaka kunufaisha watanzania na matumbo yao kwa ujumla tena huenda hata na majirani, yupi ana roho mbaya !?

Mimi nimesema naishauri Serikali ipunguze bei ya Gesi ili kuepuka tatizo hilo, wewe unaangalia tumbo lako tu, mkuu hujioni una roho mbaya sana?

Tuishauri serikali ifanye mamuzi magumu maana gesi tunayo nyingi tu sasa kwanini watuuzie mtungi15kg kwa 50,000/=?

Nadhani sasa umenielewa vizuri
Ni ushauri mzuri. Ila pia nimesema kwa ufunguaji wa mashamba unaendana na kufyeka miti. Je, tukifyeka miti hiyo tuichome moto? Haya, mimi Nina pori la zaidi ya ekari sita. Je nifyeke nichome moto miti au nitengeneze mkaa kuingiza na mapato serikalini?

Usichojua ni kuwa mnufaika wa mkaa ni serikali namba moja (inalipwa hata kabla hujavuna mkaa) halafu mkataji mkaa ndo anafuata
 
Ni mkaa kutoka Chunya kwenda popote Tanzania kwenye soko zuri zaidi. Preferably mkaa uje Dar es Salaam kwa sababu ndiko kwenye soko la uhakika na lenye bei nzuri zaidi.

Nimesajiliwa kuzalisha mkaa kutoka Chunya kwa mwaka huu wa uzalishaji ila tatizo ni uhaba wa mtaji uliotokana na changamoto kadhaa zilizoibuka kati ya mwezi September na November.

Nilishatoa mkaa mwezi September kwenda Mbeya kwa hiyo tayari Nina ujuzi angalau wa usafirishaji halali wa mkaa.

Nakaribisha mtu mwenye mtaji tushirikiane naye. Mpaka sasa kuna maandalizi yanaendelea shamba ili kuendelea kuvuna mkaa. Potential ya mkaa pale ni gunia 5000.

Karibu kwa maoni yako na interested person anaweza kuja inbox

Asante
Mkuu kwa hii biashara ya Mkaa kwann usiwashawishi wakatumia mkaa mbadala unaotokana na mabaki ya mimea Kama maranda ya mbao,mabaki ya mpunga na nyinginezo kuliko kukata miti...???

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwa hii biashara ya Mkaa kwann usiwashawishi wakatumia mkaa mbadala unaotokana na mabaki ya mimea Kama maranda ya mbao,mabaki ya mpunga na nyinginezo kuliko kukata miti...???

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mkaa mbadala ndo huo hapa unaotokana na taka za mimea


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom