khaligraph
JF-Expert Member
- Nov 19, 2016
- 1,083
- 961
Kua playboy sio suruhisho la changamoto. Ningekushauri uzame kwenye Dini,huko M/Mungu atakupa mke unaesathili
Pole sanaaa mkuu kwa masaibu yalokukuta ndo ukubwaNimeamua tu kuwa Playboy kutokana na hali ilivyo
Nimeamua tu nipite nao tu maisha yaendelee
Wakuu hakuna kitu inauma kama kuivenst nguvu na kumpenda tu halaf mwisho unagundua alikua hakupendi na ulikua unamgharamia sana, unakua loyal kwake, yaani unakua hata weak juu ya penzi lake but yeye anapretend tu kukupenda
Kupenda mwisho 2020 kudadeki sahivi napita nao tu wala sina huruma wala muda wa kumpenda kiumbe yoyote tu yule eat na run ndo maisha yangu
Kwa mambo kama hayo ya mapenzi nimeamua tu kuwa playboy maana sikuhizi mapenzi ya dhati hakuna
Katika hizi karma ni kungumu sana kupata mwanamke asiye na aibu.Hasira za mtu mwingine uwaletee wengine unaona ni fair?! Basi amua tu kukaa na dudu lako mwenyewe huko usilitumie popote.
Watu wastaarabu bado wapo aliyekutenda ni huyo mmoja na si wote🤔
Daaah! Haya ni madini tosha kabisa.Relax! Kisha Husle!
Kisha utagundua Relationships Reduces Efficiency!
Mafanikio mengi ya kimwili na kifikra huja ukiwa single.
Mke/Mpenzi ni wa ziada!
Duh nimetoka kapa hapa! Ulitaka kumaanisha nini mkuu?Katika hizi karma ni kungumu sana kupata mwanamke asiye na aibu.