Nimeamua kutokuoa katika maisha yangu

Nimeamua kutokuoa katika maisha yangu

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
13,960
Reaction score
26,135
Wakuu,

Kutokana na kuumizwa sana na watoto wa kike basi nimeamua kutokuoa kabisa na badala yake nimeamua kuzalisha wanawake watatu tofauti watakaokuja kuwa wazazi wenzangu.

Asanteni
 
Mkuu

Hujawahi umizwa na chakula? Food poison? Kama ndio, ulichukua hatua gani? Huu ni mfano tu!!!

Hujawahi huzunika, kasirika, chukizwa, katishwa tamaa, vunjwa moyo, na yafananayo hata mara moja???

Fikiri.....chukua hatua🙂
 
Huo ni utoto,subiri wakuwe ndo utaona ugumu wa sebene hilo. Bora ungeamua kuwazaa na mmoja na ukae nae mbali.Japo watu wengine mnatafuta lawama tu basi. Siku akiolewa na mmewe hampendi mwanao?
Kumbuka,malezi siku zote mama tu!Hata kama una pesa kama nyasi,huwezi ukalea
 
We umeumizwa na wanawake ambao hujazaa nao, ukizaa nao utawaweza au unatafuta matatizo zaidi?

Nikafikiri umesema umeamua kuwa mtawa usioe kabisa, ningeona umefanya jambo la maana.

Kwa sasa naona kama unataka kuwaleta watoto duniani halafu uwape tabu tu.
 
Laana ipo mkononi mwako najua matumizi utakuwa hutoi watoto wakishakuwa wengi mwisho wa siku utakufa umesimama.
 
Back
Top Bottom