Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,240
Hah...wewe mtoto. Ndiye ananifanya nitamani ndoaNaniliu je?
Hah...wewe mtoto. Ndiye ananifanya nitamani ndoaNaniliu je?
Mtoto?unatamani mtoto?Hah...wewe mtoto. Ndiye ananifanya nitamani ndoa
No bwana.Mtoto?unatamani mtoto?
Mmh!aiyaaNo bwana.
Mtoto=binti mzuri.
Street LG zimeniathriri kwa kiasi chake lol
Mkuu
Hujawahi umizwa na chakula? Food poison? Kama ndio, ulichukua hatua gani? Huu ni mfano tu!!!
Hujawahi huzunika, kasirika, chukizwa, katishwa tamaa, vunjwa moyo, na yafananayo hata mara moja???
Fikiri.....chukua hatua🙂
Au umenielewa vibaya kwani!Mmh!aiyaa
Aliniacha akaolewa na wengine
[emoji115] na [emoji116] nimeshindwa kuunganisha maana aseeNaniliu je?
Hah...wewe mtoto. Ndiye ananifanya nitamani ndoa
Uliniuliza je nanihii...ndiyo nikakujibu huyo naniihii(mtoto) ndiye ananifanya niitaman ndoa[emoji115] na [emoji116] nimeshindwa kuunganisha maana asee
Wakuu,kutokana na kuumizwa sana na watoto wa kike basi nimeamua kutokuoa kabisa na badala yake nimeamua kuzalisha wanawake watatu tofauti watakaokuja kuwa wazazi wenzangu.
asanteni
Hapo fresh kabisaa nimekuelewa sir!Uliniuliza je nanihii...ndiyo nikakujibu huyo naniihii(mtoto) ndiye ananifanya niitaman ndoa
Naamini utakuwa umeelewa sasa
Kwa nanilihiii eeh!Hapo fresh kabisaa nimekuelewa sir!
Sasa si ufanye kweli
Eee naniliuKwa nanilihiii eeh!
Ekzatili....tupo huko nitakupa updates za tafrijaEee naniliu
Me nazani ili kutupunguzia watoto Wa mtaani wasio na malezi ya baba na ni vizuri usizae kabisaWakuu,kutokana na kuumizwa sana na watoto wa kike basi nimeamua kutokuoa kabisa na badala yake nimeamua kuzalisha wanawake watatu tofauti watakaokuja kuwa wazazi wenzangu.
asanteni
Updates na mualiko pleaseEkzatili....tupo huko nitakupa updates za tafrija
Yes nitaachaje kukualika sasa...vipi dogo bado anakusumbua?Updates na mualiko please
Wewe naye kila abiria chunga mzigo wake nikitekwa huko utalalamika???Me nazani ili kutupunguzia watoto Wa mtaani wasio na malezi ya baba na ni vizuri usizae kabisa