Nimeamua kutokuoa katika maisha yangu

Nimeamua kutokuoa katika maisha yangu

Mkuu

Hujawahi umizwa na chakula? Food poison? Kama ndio, ulichukua hatua gani? Huu ni mfano tu!!!

Hujawahi huzunika, kasirika, chukizwa, katishwa tamaa, vunjwa moyo, na yafananayo hata mara moja???

Fikiri.....chukua hatua🙂
Watu wanaunguzwa na moto jikoni lakini hawaachi kupika
 
Maumivu yana expiring date!!! Muda ukifika moyo umepona na unahitaji familia ndo utajutia maamuzi yako!!!
 
umeza na wanawak wa3 kisha unadai umeumizwa apo nan kaumiza mwenzak ??
 
nani huyo mwenye uthubutu wakuteka Mali ya mtoto JoJo?😀
Sikuhizi kuna utekaji unafanywa na wadada na wamama wa mjini hapa, nitafutie ulinzi lasivyo watakubakizia manyoa tu.[emoji7] [emoji7] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Mwanaume unaanzaje kuumizwa na mtoto wa kike! Mi natafuta sana hao wanaoumiza watu......Dawa yao ndogo sana basi tu wanaume hatujagundua.
 
Pole broo, watu km nyie ndo mnatufanya wenye sura km rapa la kuruta,vibamia, weus km Nokia Toch, tunaoshiba mia tatu kwa siku na wafupi km kiberitu tupendwe na tupate wake, Mana mm nasubirigi vile vinavyoelea elea/ vilivyoshindkana
 
Asante kwa taarifa zisizo sahihi

baizawei, wewe hujawahi kuumiza?

Hayo ndo malipo
 
Nakushauri tu, usifanye maamuzi muhimu wakati una uchungu na hasira.
Mkuu unatengeneza bomu zaidi ya nyuklia ya Kim.
Onesha uanaume wa kukabiliana na changamoto au zaa na mwanamke mmoja tu hata watoto watatu halafu mkae mbali naamini utakuja kukaa mbeleni na kujitafakari na kuamua kukaa naye kabisa. Huu ujana unatudanganya sana. Believe me unakosea sana sana. Nitasubiri mrejesho more years to come kama usipobadili hayo mawazo
 
Wanawake hawatafutwi,ela ndio inatafutwa!
 
Hivyo vidonda vimeshapona au una donda ndugu?? Hujui utamu wa ndoa wewe na utajuta kuchezea chezea wanawake wa watu
 
Back
Top Bottom