Nimeamua kuolewa......

Ndio nimeamua kuolewa at last……but at my own conditions. Kwa kweli nimechoshwa na masharobaro wa hapa mjini, yaani uwizi mtupu, usanii and too many heart breaks, I have to come to conclusion love is not meant for me.

Niko katika mchakato lakini nataka hii ndoa iwe purely of benefits more or less marriage of convenience. Sitaki kuolewa kwa love cause it doesn’t and never worked with me, sitaki kuwa nyumba ndogo, sitaki kuzaa na mume wa mtu, sitaki kuzaa nje ya ndoa, sitaki kulea mume, sitaki kuruka ruka kila siku.

Ninachotaka ni kukidhi matamanio ya mwili, kuendeleza kizazi (tukijaliwa), awe responsible dad to his kids kwasababu sitaki niwe single parent at same wakose mapenzi ya baba yao. Tutasaidiana maisha half half hasa yanayohusu watoto wetu. LOL

Now the challenging part, nataka mawazo yenu, nini nifanye ili hii marriage ionekana attractive kwa mume mtarajiwa. Naomba brainstorming zenu kabla sijaweka bandiko. Maana its like contract and going to be renewable see if we fit, au precaution gani nichukue......

Mtambuzi , Kongosho , Kaunga , The Boss , ndyoko , Preta , Eiyer , King'asti , na Nyani Ngabu na wengineo wote naombeni busara zenu.
nimependa mtazamo wako wa ndoa... nadhani ndio ndoto ya kila mwanamke
 
Last edited by a moderator:
Kwanza hongera na pole!Hili li sredi sijui lilikua linanipitaje?Ngoja nijipange na mapwenti ya nguvu!
 
Ndio nimeamua kuolewa at last……but at my own conditions. Kwa kweli nimechoshwa na masharobaro wa hapa mjini, yaani uwizi mtupu, usanii and too many heart breaks, I have to come to conclusion love is not meant for me.

Niko katika mchakato lakini nataka hii ndoa iwe purely of benefits more or less marriage of convenience. Sitaki kuolewa kwa love cause it doesn’t and never worked with me, sitaki kuwa nyumba ndogo, sitaki kuzaa na mume wa mtu, sitaki kuzaa nje ya ndoa, sitaki kulea mume, sitaki kuruka ruka kila siku.

Ninachotaka ni kukidhi matamanio ya mwili, kuendeleza kizazi (tukijaliwa), awe responsible dad to his kids kwasababu sitaki niwe single parent at same wakose mapenzi ya baba yao. Tutasaidiana maisha half half hasa yanayohusu watoto wetu. LOL

Now the challenging part, nataka mawazo yenu, nini nifanye ili hii marriage ionekana attractive kwa mume mtarajiwa. Naomba brainstorming zenu kabla sijaweka bandiko. Maana its like contract and going to be renewable see if we fit, au precaution gani nichukue......

Mtambuzi , Kongosho , Kaunga , The Boss , ndyoko , Preta , Eiyer , King'asti , na Nyani Ngabu na wengineo wote naombeni busara zenu.

hongera kwa kufikiria kukata shauri madamX
 
Last edited by a moderator:
mshauri abaki single

Hili ameshalichoka tayari,ndoa kama ndoa mi nijuavyo ni kama jiji la Rome,halikujengwa siku moja,na limekusanya mambo mengi,uchafu na usafi,uchungu na utam,karaha na raha.Haya yote itategemea nyie wanandoa mlivyo.Ili ndoa iwe ya furaha na sio raha lazima mjitambue nyie ni nani,mnataka kua nani na kwanini mpo pamoja!
 
hata mie muda ukifika lazima nijivue gamba aisee....

ila mie nataka company tu,sitaki sex wala watoto,sijui mwanaume gani atakubali hizi terms lol :wacko:
 
Mapenzi yafafanue kama mapenzi na sio ya sasa na zamani. Uzuri wa kitu hauwezi kupotea eti kuna watu hawajui wanachofanya huku wakijidai eti wana mapenzi. Mapenzi yatabaki kuwa msingi wa ndowa na yasipokuwepo au kujengwa ndani ya ndowa patakuwa na tatizo.

Hilo nalo neno
 
Ndoa ni mkataba wa watu wawili. Huwezi ukaolewa on your OWN CONDITIONS! this is too selfish. We ungesema unataka mtu ambaye mtoana kwa msingi wa urafiki siyo lazima mapenzi labda yadevelop yenyewe baadaye.
Lakini unasound kama sadist fulani. Nilikuwa na rush, nikipata muda mzuri nitakujuza.
Ila usife moyo dadangu.

Duuh aunt sadist tena, its simply agreement. I know what I want sasa ndio maana nataka JF members wanijuze how to make it more attractive to the 2nd party involved and what terms that I need to be flexible.

Anyways, nakusubiri urudi.
 
MadamX ili hiyo ndowea iwe unavyotaka inabidi usawazishe mivutano iliyomo katika nafsi yako. Bolds na hizo nyekundu haziwezi kuenda pamoja hata siku moja. Unataka ndowa ya kuaminiana wakati huo huo hutaki mapenzi? Haya sasa wewe huna kitu mapenzi ,sasa huyo mwenzako yake ayapeleke wapi? Nyumba ndogo?

Well, kama nilivyosema hapo awali, I want to make it more of contract, I had love to be it love marriage lakini naona duuh siku hizi ni sawa na kutafuta sindano baharini. Labda ingekuwa open marriage lakini mambo ya maradhi bwana yananitia shaka, ndio maana nataka purely benefits, I know what I want and I want a man pespective on this to tell me what could have been more appealing for someone to consider this marriage.


With this labda we will learn to love ourselves later but initially not prequisite.
 
Ndio nimeamua kuolewa at last……but at my own conditions. Kwa kweli nimechoshwa na masharobaro wa hapa mjini, yaani uwizi mtupu, usanii and too many heart breaks, I have to come to conclusion love is not meant for me.

Niko katika mchakato lakini nataka hii ndoa iwe purely of benefits more or less marriage of convenience. Sitaki kuolewa kwa love cause it doesn’t and never worked with me, sitaki kuwa nyumba ndogo, sitaki kuzaa na mume wa mtu, sitaki kuzaa nje ya ndoa, sitaki kulea mume, sitaki kuruka ruka kila siku.

Ninachotaka ni kukidhi matamanio ya mwili, kuendeleza kizazi (tukijaliwa), awe responsible dad to his kids kwasababu sitaki niwe single parent at same wakose mapenzi ya baba yao. Tutasaidiana maisha half half hasa yanayohusu watoto wetu. LOL

Now the challenging part, nataka mawazo yenu, nini nifanye ili hii marriage ionekana attractive kwa mume mtarajiwa. Naomba brainstorming zenu kabla sijaweka bandiko. Maana its like contract and going to be renewable see if we fit, au precaution gani nichukue......

Mtambuzi , Kongosho , Kaunga , The Boss , ndyoko , Preta , Eiyer , King'asti , na Nyani Ngabu na wengineo wote naombeni busara zenu.
MadameX kutokana na jinsi wanaume wa siku hizi tulivyo, I think you are dreaming......... huo ndio ukweli!
My dear kwa hizo sifa unazozitaka utasubiri sana.........................................................................LOL
 
Last edited by a moderator:
hata mie muda ukifika lazima nijivue gamba aisee....

ila mie nataka company tu,sitaki sex wala watoto,sijui mwanaume gani atakubali hizi terms lol :wacko:

nipo free,single ni PM,nimwage contacts.
 
Back
Top Bottom