Nimeamua kumtema mazima.

Not a mistake in such !but it seemed your real vuvuzela..how can u take the ladie like vocha?? U dont now her then you pick her where you dwelling,u cnt be serious nigger damn!!!!!!!!!!!!!
 
kweli we wa kishua,akili zenu huwa za kushikiwa watoto wa mama mboga nane!!!!so unadhani kila demu unataka akupe kwa muda unaompangia wewe????sijui hata kwa nini nacomment hapa
 
[h=2]Re: Nimeamua kumtema mazima.[/h]
Angefanya kosa kubwa sana kukupa wewe........!!!
Namnukuu MWANAFA - ''DEMU UKIONA ANAKUCHUKIA, JUA WAZI ANAKUZIMIA. Evelyn Salt naona unajitaidi kunitafuta, utanipata tuu. 🙂
 
Labda umesahau nikukumbushe yule mdada ulieagana nae mkutane mlimani city hakutokea ukasema anatabia za kiswahili ukadelete namba zake, je uyu ulikutana nae siku hiyo au kwa vile unapenda kwenda hapo ulikutana nae baada ya yule kumdelete?
anyway turudi kwa uyu wa mlimani city ukute ata wewe alikugundua una tabia za kiswahili ndio maana alikuwa anakupotezea! embu acha kutufunga kamba we kila mdada ni mswahili si utoe tangazo la kutafuta msichana wa kizungu.
 
Watch ur words MAWERE.
 
Mulugo alisema "One nineteen sixty one" Visiwa ya Zanzibar & Zimbabwe.
samahani najaribu kukisia so wa kishua umejaribu kumfananisha nae au? maana ata mi ananichanginyi kwelikweli au topiki kubwa hapo ni nyumba anayokaa kuwa ni kubwa maana da!
 
nikupongeze kwa kutomfanyia uhuni

lakini bado mhuni,jirekebishe
 

Ningependa nikujibu kama ifuatavyo, M-city ni sehemu ninayopenda kutembelea sana, cjajua kwa nini hawa WANAWAKE WA KIBONGO wanakuwa na kasumba za namna hii, lakini kipindi nipo KANSAS niliwahi kuwa na gals ambao ni waelewa sana tofauti na wa hapa.,Kingine nilichogundua ni kwamba wanawake wa Bongo asilimia kubwa hawapendi UKWELI.
 
Copy na kupaste style nouma!! ila nayway mm nipo kwenye deals zangu, utanijulisha part two yake!!
 
WA KISHUA fix zako mbona fupi sana!!
Da unagundulikaje mapema, hapa naona wengi wameshakushutukia!!
 
we WA KISHUA ujue una harakati za kipimbi sana nimechunguza visa vyako unavyopost huwa vinafanana na jamaa fulani anaitwa pimbi wa gazeti la sani.
Source😛ost zako hapa MMU.
 
Last edited by a moderator:
ila we ni mburula kuliko wenginge wanavofikiri ni mburula!
hao wanawake wanaohangaika na wewe kwa style hii unawapataga wapi dogo!mbn unaonekana mshamba mwili mzima best!
 
WA KISHUA fix zako mbona fupi sana!!
Da unagundulikaje mapema, hapa naona wengi wameshakushutukia!!

Inaonyesha umezoea MATANI na MASIHARA bwana mdogo, endelea KUKAZANA ivyo ivyo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…