Nimeamua kumshauri Rais Magufuli

Nimeamua kumshauri Rais Magufuli

monde arabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2017
Posts
8,883
Reaction score
13,621
Mh.Rais najua wafuasi wako wapo humu jukwaani kama siyo wewe mwenyewe,naipenda nchi yangu Tanzania na kwa mantiki hiyo napaswa kukutambua kama Rais wa Taifa langu hata kama sikupendi

Najua umefanya juhudi kubwa sana za kutukamua Watanzania mpaka umenunua ndege,najua umetumia nguvu nyingi sana kwenye korosho na matokeo yanaonekana,najua watumishi wa umma wanafuraha sana kwa kasi tunayoenda nao,hao wanaosema hali ni mbaya sijui uchumi umeshuka wote ni wachochezi wanaotumwa na mabeberu

Wanasiasa wanaolalamika kwamba demokrasia imeminywa;hawajui kuwa umefanya hivyo kwa nia njema ili Watanzania wafanye kazi japo kazi ya mwanasiasa ni kufanya kazi...hao pia hawajui kuwa sisi wana-ccm tunajua kuwa tukiruhusu mikutano ya kisiasa wataenda kuwaambia wananchi ukweli

Yote tisa, kumi nataka nikushaur vzr Rais wa Wanyonge (kama ambavyo huwa unajiita mwenyewe) na huu ndyo ushaur wangu usome kupitia jamii forum

Unapaswa kuuza ndege zote ulizozinunua kabla hazijatuletea hasara kubwa kupindukia kwa kuwa siioni kama kuna mwisho mzur wa ndege hizo
Baada ya kuziuza ndege hizo nunua mabasi ya mikoani ya serikali pamoja na mabasi madogo aina ya coaster

Haya mabasi ya abiria yatakuwa yanafanya safar za mikoani kwa nauli pungufu ukilinganisha na mabasi ya watu binafsi,mfano basi la Magufuli likiondoka Dar to Mwanza linapaswa kufika siku hiyo hiyo bila kulala njiani
Haya mabasi madogo aina ya coaster yatakuwa yanafanya safar za wilaya to wilaya na baada ya mwaka mmoja unaweza kukusanya fedha nyingi sana

Pia,kwenye ndege unawaachia wawekezaji hasa wahindi ambao wao wanaonekana kuwa wako vzr sana kwenye biashara ya usafiri wa anga

Hapo lazma utatoboa na biashara zote unazotaka kuzifanya hakikisha kuwa umezungumza na watu wanaozifaham biashara hizo vzr kabla hujaingiza miguu yote kama kwenye Bombardiers

Upokee ushaur huo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo wazo ni zuri,, lakini kinachoonekana hapa ni kwamba nchi inataka ipate sifa kimataifa kua imeendelea na uchumi wake umekua...,,na kua zamani nchi iliibiwa na kunyonywa..ingawa mmakonde yule muuza korosho hawezi kupanda bombadia. Sasa ww unataka tena kuturudisha enzi za uhuru za mwl na maduka ya vijiji.
 
Kuna kitu cha kujifunza hapo kwamba kila mtu ana mawazo yake anayoyaona yana faa na kuna watu wanafuata mkumbo kwa kugawana chuki dhidi ya binadamu mwenzake bila sababu za msingi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh.Rais najua wafuasi wako wapo humu jukwaani kama siyo wewe mwenyewe,naipenda nchi yangu Tanzania na kwa mantiki hiyo napaswa kukutambua kama Rais wa Taifa langu hata kama sikupendi

Najua umefanya juhudi kubwa sana za kutukamua Watanzania mpaka umenunua ndege,najua umetumia nguvu nyingi sana kwenye korosho na matokeo yanaonekana,najua watumishi wa umma wanafuraha sana kwa kasi tunayoenda nao,hao wanaosema hali ni mbaya sijui uchumi umeshuka wote ni wachochezi wanaotumwa na mabeberu

Wanasiasa wanaolalamika kwamba demokrasia imeminywa;hawajui kuwa umefanya hivyo kwa nia njema ili Watanzania wafanye kazi japo kazi ya mwanasiasa ni kufanya kazi...hao pia hawajui kuwa sisi wana-ccm tunajua kuwa tukiruhusu mikutano ya kisiasa wataenda kuwaambia wananchi ukweli

Yote tisa, kumi nataka nikushaur vzr Rais wa Wanyonge (kama ambavyo huwa unajiita mwenyewe) na huu ndyo ushaur wangu usome kupitia jamii forum

Unapaswa kuuza ndege zote ulizozinunua kabla hazijatuletea hasara kubwa kupindukia kwa kuwa siioni kama kuna mwisho mzur wa ndege hizo
Baada ya kuziuza ndege hizo nunua mabasi ya mikoani ya serikali pamoja na mabasi madogo aina ya coaster

Haya mabasi ya abiria yatakuwa yanafanya safar za mikoani kwa nauli pungufu ukilinganisha na mabasi ya watu binafsi,mfano basi la Magufuli likiondoka Dar to Mwanza linapaswa kufika siku hiyo hiyo bila kulala njiani
Haya mabasi madogo aina ya coaster yatakuwa yanafanya safar za wilaya to wilaya na baada ya mwaka mmoja unaweza kukusanya fedha nyingi sana

Pia,kwenye ndege unawaachia wawekezaji hasa wahindi ambao wao wanaonekana kuwa wako vzr sana kwenye biashara ya usafiri wa anga

Hapo lazma utatoboa na biashara zote unazotaka kuzifanya hakikisha kuwa umezungumza na watu wanaozifaham biashara hizo vzr kabla hujaingiza miguu yote kama kwenye Bombardiers

Upokee ushaur huo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kanunua ndege Saba,Ni ujinga na ushamba tu hakuna kingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hizo ndege ziuzwe au zikodishwe kabla hazijatuletea hasara isiyo na kipimo. Bil 800+ itachimbiwa shimoni sasa hv tukiwa tunaangalia!
 
Ushauri wako huu ni kazi bure kwani ni ushauri mngapi alishapewa lakin lake ni lake hasikii la. Kuambiwa

{Karibu tembelea, subscribe chanel yangu ya youtube jina Misifa Skills,Link hii hapa
 
Mtoa maada, moja ya source kubwa ya income ni tourism. Watalii hawaletwi na Mabasi na coasters. Watalii hawatoki Bunju wala Ifakara kaka.
 
Back
Top Bottom