Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,543
We kila kinachofanywa unakifurahia? Haiwez tokea kimoja ukakwazwa? Pale unapokwazwa ukajikuta umetamka au kuandika kwa hali ile ya kukwazwa si ndo utaenda lipa mil 7??
Nakwazwa lakini nikifikiri kuzingirwa naona ngoja niende mdogomdogo maana bado sijakamilisha majukumu ya kuwepo duniani