zeus47
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 233
- 304
Tuanze na hili swali, unataka kutengeneza mobile apps za Android au ios? Kama ni Android, jifunze Kotlin, hiyo ni official language ya Google na inatumika kutengeneza android applications ila kuna java pia. So kwavile huna idea ya java unaweza ukaamua uguse ipi hapo maana zote zinapiga mzigo ila Kotlin syntax zake ni fupi sio kama java lakini ni lugha ambayo imetoka kama miaka miwili iliyopita so support community yake bado inaendelea kukua. Kwa upande wa ios, hapo komaa na Swift tu. Ila mwisho wa siku what matters ni kuweka kutatua tatizo kwa kutumia hizi Programming languages. Unaweza ukazijua lakini kama hutumii to make a difference inakuwa ni kazi bure.Mkuu, nimependa vile umejibu swali.
Nadhani unaweza kunipa mwanga kidogo kwa hiki nnachotaka kujifunza.
Mie nataka kujifunza mobile app development from scrach, natakiwa nifahamu nini na nini ilhali sina ujuzi wowote wa programing zaidi ya kupenda kujifunza?!
Nimekuwa nikitengeneza native mobile apps kupitia 'appyet' na 'thunkable' lakini napenda kujua zaidi mkuu!
Msaada plz!