Eleza sababu kwanini ulijishika korodani?Habari wanajamvi, najua mmekesha na kusubiri mkeka wa wagombea. Ila naomba kuwapa swali kidogo: nikiwa najisaidia haja ndogo halafu nikijishika korodani, tumbo linaanza kuniuma sana. Tatizo nini?
Hilo ni changoHabari wanajamvi, najua mmekesha na kusubiri mkeka wa wagombea. Ila naomba kuwapa swali kidogo: nikiwa najisaidia haja ndogo halafu nikijishika korodani, tumbo linaanza kuniuma sana. Tatizo nini?
Unataka kuona makunyanzi ya pumbuu, huyu anaweza kuwa na hernia. Awahi hospital kabla hali haijawa mbayaHebu weka picha unavyojishika hizo korodani tujue ma-Dr tunakusaidiaje..!!
Jitahidi picha iwe HD
Jirani huu sasa ni ukorofi.Hebu weka picha unavyojishika hizo korodani tujue ma-Dr tunakusaidiaje..!!
Jitahidi picha iwe HD
🤣🤣🤣🤣Dalili za kuanza Period hizo
Polee asee.. Vipi ukijishika unazikuta zote au kuna ambayo inapotea?.. Na ukiwa hauna haja ndogo hali inakuaje? .. Likely kama una hernia sema maelezo yako hayajitoshelezi.. 🤔Habari wanajamvi, najua mmekesha na kusubiri mkeka wa wagombea. Ila naomba kuwapa swali kidogo: nikiwa najisaidia haja ndogo halafu nikijishika korodani, tumbo linaanza kuniuma sana. Tatizo nini?
Muscle cramps dalili za ngiri. Hunabudi kuchukua hatua mapema kupata matibabu.Habari wanajamvi, najua mmekesha na kusubiri mkeka wa wagombea. Ila naomba kuwapa swali kidogo: nikiwa najisaidia haja ndogo halafu nikijishika korodani, tumbo linaanza kuniuma sana. Tatizo nini?