Abdull hameed
Senior Member
- Jan 29, 2025
- 111
- 206
Habari wanajamvi, najua mmekesha na kusubiri mkeka wa wagombea. Ila naomba kuwapa swali kidogo: nikiwa najisaidia haja ndogo halafu nikijishika korodani, tumbo linaanza kuniuma sana. Tatizo nini?
Halafu kuna mwanamke anakupost anasema proudly mrs fulan🤣🤣🤣Habari wana jamvi najua mumekesha na kusubiri mkeka wa wagombea ila naomba kuwapa swali kdg nikiwa najisaidia haja ndogo hlf nikijishika korodani tumbo linaanza kuniuma sana tatizo nini?
Habari wana jamvi najua mumekesha na kusubiri mkeka wa wagombea ila naomba kuwapa swali kdg nikiwa najisaidia haja ndogo hlf nikijishika korodanitumbo linaanza kuniuma sana tatizo nini?
Muulize umri wake Mkuu... Humu watoto wa 2010 wamekua wengi sana siku hizi..Kwanini ujishike korodani?
Kuna uhusiano gani wa kujisaidia haja ndogo na kujishika korodani?
Tuanzie hapa kwanza.
😂😂Dalili za kuanza Period hizo
Jaribu kujisaidia na haja kubwa, halafu tuone kama litendelea kukuuma.Habari wana jamvi najua mumekesha na kusubiri mkeka wa wagombea ila naomba kuwapa swali kdg nikiwa najisaidia haja ndogo hlf nikijishika korodani tumbo linaanza kuniuma sana tatizo nini?
Kubinywa Korodani hua ni moja ya mateso kwa wahalifu ili wataje wenzao au wataje siri walizonazo,Muulize umri wake Mkuu... Humu watoto wa 2010 wamekua wengi sana siku hizi..
Usikute unafanya Ile michezo ya 🌈Habari wana jamvi najua mumekesha na kusubiri mkeka wa wagombea ila naomba kuwapa swali kdg nikiwa najisaidia haja ndogo hlf nikijishika korodani tumbo linaanza kuniuma sana tatizo nini?
Kata korodaniHabari wana jamvi najua mumekesha na kusubiri mkeka wa wagombea ila naomba kuwapa swali kdg nikiwa najisaidia haja ndogo hlf nikijishika korodani tumbo linaanza kuniuma sana tatizo nini?
Jamaa akapime hizi ni dalili za magonjwa kwenye njia ya mkojo au ana uvimbe kwenye korodaniKubinywa Korodani hua ni moja ya mateso kwa wahalifu ili wataje wenzao au wataje siri walizonazo,
Sasa yeye anajishika korodani halafu anashangaa tumbo kuuma!
Dawa ni kuacha kujishika Korodani tu.
Unakamua kuhakikisha mkojo wote umetokaKwanini ujishike korodani?
Kuna uhusiano gani wa kujisaidia haja ndogo na kujishika korodani?
Tuanzie hapa kwanza.