Nimeamini watanzania sisi bado sana

Nimeamini watanzania sisi bado sana

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,675
Reaction score
2,115
Kimsingi nimeamini watanzania sisi bado sana, watu tunalalamika kazi hakuna na tumesoma. Lakini nimeshangaa sana jana nimeweka tangazo la kazi watu wa electricity installation watu 20, nikaweka na mawasiliano lakini mpaka sasa nna watu watatu tu, lakini bado kuna watu wako home na tangazo wameliona but wanapuuza, tanzania ajira zipo sema watanzania hatutafuti, tumekaa tu home, kingine ambacho nimegundua waajiri wengi wanataka sana watu wenye certificate au diploma, watu wa degree kweli wanapata shida sana, maofisi mengi wamejaa watu wa certificate na diploma tu, haya kwa mara nyingine mwenye hiyo fani anicheki 0755914977
 
Kwanza ujue hizo fani zina watu wachache kwa hiyo usitegemee utapata watu wengi wengi wana michongo yao wanafanya pia ungekuwa specific kazi gani wanaenda kufanya au kampuni gani may ungetoa motisha
 
acha mbembwe ndio maana wa2 hawakuamini info hazitoshi.
tiririka bana.
 
tatizo hujaweka info za kutosha.watu wanataka kujua ni kampuni gan na inajishughulisha na nn na sio ubabaishaji tu
 
Haya ma konstebo na ma sajini ni kwamba, kampuni yetu inaitwa nikweli, inajishughurisha na kutafuta watu wenye sifa mbalimbali za kufanya kazi na tunapata tender za makampuni mengi ambayo tuna mkataba nayo, mfano hii ya electrical installation ni tender ya tanesco inahitaji hao watu, zaidi ya hapo kama kweli watu wako interested c nimeweka namba ya cm kwanini mtu asipige au aandike sms. Asanteni wakuu wa kaya.
 
huna lolote ,jieleze vizuri

sawa mkuu ww mwenye lolote ila navyojau watu ambao kweli wana nia wangeshanitafuta maana nmeweka mpaka namba ya cm hadharani, tatizo watu wengi humu ni ma braza men na masister du, smartphone wanazo lakn ajabu hawaztumii kutafuta au kufanya mambo ya muhimu zaid ya kuchart fb,viber,whtzp,inst,etc. Halafu hawana kazi wanatafuta kazi.
 
Mi nilipata kazi ya hr officer kwa kuona tangazo zoom, lakini kuna watu wangu wengi wa karibu walikuwa wananicheka sana kwamba napoteza muda kwani ni uwongo hzo kazi huwa hakuna, wananicheka lakini wao hawana kazi wala hawajishughurishi kutafuta kazi ila ndo wana s4,5,laptop etc
 
Dah,fursa hii nlikua cjaona...Hope shukran kwa upendo wako,wengine wangebana tu nakuwapa ndugu zao...ntakuchek
 
dah,fursa hii nlikua cjaona...hope shukran kwa upendo wako,wengine wangebana tu nakuwapa ndugu zao...ntakuchek

hapo sawa mkuu, ningeweza kuwapa jamaa zangu sema si vyema pia sina mtu mwenye fani hiyo jitahidi mwisho itakua kesho asubuhi.
 
umefanya vizuri kijana wangu achana na hao wanaopiga kelele wengi wanakazi wanataka kuwaharibia tu vijana genuine wanaotafuta kazi, watu utapata kibao si unajua uchumi kidogo unasumbua so watu wananunua bundle siku mojamoja especial hao waliopitia certificate, hope mpaka kesho utakua nao 50
 
Mi nilipata kazi ya hr officer kwa kuona tangazo zoom, lakini kuna watu wangu wengi wa karibu walikuwa wananicheka sana kwamba napoteza muda kwani ni uwongo hzo kazi huwa hakuna, wananicheka lakini wao hawana kazi wala hawajishughurishi kutafuta kazi ila ndo wana s4,5,laptop etc

Nafasi zingine hamna mkuu?
 
Mim nina bachelor ya electrical engineering bt ilo tangazo lako halijakizi vigezo vya matangazo ya ajira, ebu fafanua zaid. Na mshahara au posho weka apa na mkataba hakuna.!!
 
Safi sana

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mi nilipata kazi ya hr officer kwa kuona tangazo zoom, lakini kuna watu wangu wengi wa karibu walikuwa wananicheka sana kwamba napoteza muda kwani ni uwongo hzo kazi huwa hakuna, wananicheka lakini wao hawana kazi wala hawajishughurishi kutafuta kazi ila ndo wana s4,5,laptop etc

Mwezi March katikati niliona nafasi hapa jamvini pale Ubalozi wa UK, mtoto kapuku nikajitutumua, kama masihara vile siku moja niko zangu ofsini nikapigiwa simu na dada mmoja mwenye sauti nyororo akitema ngeli iliyotulia akinieleza niende kwenye intavyu nikamwambia nitatia timu bibie,basi akakata simu,dakika chache smartphone yangu ikatoa mlio wa email kucheki ni yeye kama Ass Hr amenitumia maelekezo yote,mwanaume nikatia timu siku niliyopangiwa tukapepetana nao kama saa 1 zima hivi,wazungu 2,mbongo mmoja wa kike,yule aliyenitwangia yeye alikuja kunipokea receiption tu na kunipeleka kwa wale wenzie,after 1 week akanitumia tena mail akasema wamempa nafasi mtu mwingine aliyefanya vizuri zaidi yangu,na kunishukuru huku akiniomba nisiache kuomba kama kutatokea nafasi zingine siku zijazo,nakamjibu poa mrembo,na wala sikuumia sana maana kazi ninayo kitambo tu,ila nilitaka nichangamkie fursa kwe taasisi ya kidplomasia
 
Mwezi March katikati niliona nafasi hapa jamvini pale Ubalozi wa UK, mtoto kapuku nikajitutumua, kama masihara vile siku moja niko zangu ofsini nikapigiwa simu na dada mmoja mwenye sauti nyororo akitema ngeli iliyotulia akinieleza niende kwenye intavyu nikamwambia nitatia timu bibie,basi akakata simu,dakika chache smartphone yangu ikatoa mlio wa email kucheki ni yeye kama Ass Hr amenitumia maelekezo yote,mwanaume nikatia timu siku niliyopangiwa tukapepetana nao kama saa 1 zima hivi,wazungu 2,mbongo mmoja wa kike,yule aliyenitwangia yeye alikuja kunipokea receiption tu na kunipeleka kwa wale wenzie,after 1 week akanitumia tena mail akasema wamempa nafasi mtu mwingine aliyefanya vizuri zaidi yangu,na kunishukuru huku akiniomba nisiache kuomba kama kutatokea nafasi zingine siku zijazo,nakamjibu poa mrembo,na wala sikuumia sana maana kazi ninayo kitambo tu,ila nilitaka nichangamkie fursa kwe taasisi ya kidplomasia

Nimeshajua kwanini hukuipata hiyo kazi.
 
mim nina bachelor ya electrical engineering bt ilo tangazo lako halijakizi vigezo vya matangazo ya ajira, ebu fafanua zaid. Na mshahara au posho weka apa na mkataba hakuna.!!

ungekua na nia ya dhati ungepiga cm.
 
Back
Top Bottom