Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,606
Aisee nchi hii ni ngumu sana. Wanawake wengi wana njaa kali. Always mwanamke hutaka kuwa na pesa wakati wote. Mwanamke hapendi kujitesa.
Kuna mdada naheshimiana nae sana. Ni best friend tu. Sijawahi kuwa nae mahusiano maana heshima ni 100 %.
Mwaka jana February alinikopa hela kiasi cha TZS Million 1 aongezee mtaji afungue Saloon kwa makubaliano anirudishie baada ya miezi 3. Mwanaume nikajikamua nikampatia. Shit!
Anazingua na kiswahili kila kukicha. Halafu mbaya zaidi simu zangu anarespond vizuri tu.Ila kwenye kufunguka anipe pesa zangu.
Kuna wakati anakuwa kama ananitaka kimapenzi indirectly. Mm sitaki maana hana mvuto kabisa.
Nifanyeje jamani ili mwanamke anirudishie pesa yangu?
Kuna mdada naheshimiana nae sana. Ni best friend tu. Sijawahi kuwa nae mahusiano maana heshima ni 100 %.
Mwaka jana February alinikopa hela kiasi cha TZS Million 1 aongezee mtaji afungue Saloon kwa makubaliano anirudishie baada ya miezi 3. Mwanaume nikajikamua nikampatia. Shit!
Anazingua na kiswahili kila kukicha. Halafu mbaya zaidi simu zangu anarespond vizuri tu.Ila kwenye kufunguka anipe pesa zangu.
Kuna wakati anakuwa kama ananitaka kimapenzi indirectly. Mm sitaki maana hana mvuto kabisa.
Nifanyeje jamani ili mwanamke anirudishie pesa yangu?
