Nimeamini Mtalaka hatongozwi

Ni uhalisia ... ila hakuna namna mkuu. Maisha yaendelee...
Ukizuia wewe kuna mtunatafanya tu... aafu fresh life goes on[emoji1787]
 
We Fala washa [emoji343] ha haha
Redio yenyewe mkulima.... nakwambia kulikuwa na kelele hadi mtaa wa pili... na vile dirisha halikufungwq kiooo[emoji1787][emoji1787]
 
Hiyo dawa nafahamu nishawahi itumia kipindi kile ni kali unaona mauza uza na ndoto za ajabu ukinywa
 
Alichoongea mtoa Uzi ndo Hali halisi nakuona waajabu sana kumlaumu, haya ndo madhara ya mtu kuwa na mahusiano mengi kabla ya ndoa ndo maana zaman mwanamke anatakiwa aolewe akiwa na bikra haya yasingetokea
Huyu hajaupitia uke uzi wa rikyboy. Kula tunda kimasihara. Atashanaa kuona Maajabu yaliyoko kule.
 
Kuna mwamba leo katoa mahari milion na demu kaliwa kwa notes za return of the niga

[emoji41]
 
Nakushauri uache uzinzi mkuu.
Uzinzi unafilisi sana.
Kumbuka kuna;
1. Lodge 30-50k
2. Vyakula 50k
3. Vinywaji hasa wine 60k
Jumla 160k

Huu ni mshahara wa mtu kwa Muhindi

Ukifanya mara 3 kwa mwezi ni 480k

Hapa ungewekeza kabisa😂😂
Mbona unampangia jinsi ya kuishi alishakuja kukulia shida acha uchuro kwenye maisha kila mtu anavipaumbele vyake
 
Hiyo dawa nafahamu nishawahi itumia kipindi kile ni kali unaona mauza uza na ndoto za ajabu ukinywa
Sahizi haina ukali mkuu... kulikuwa kuna content ilikuwa inaitwa effervescence. Ndo ilikuwa inaleta mauza uza..
Sahizi imeondolewa mkuu wameUp grade toka TLE kwenda TLD.
Hapa kwenye TLE hiyo E ndo effervescence.
Kwenye TLD ni hiyo D sahizi ni delutegravil.
Ukinywa Fresh tu mkuu..

Ndo maana hata kwenye PREP sahizi wameipa jina TRUVADA
 
Mbona unampangia jinsi ya kuishi alishakuja kukulia shida acha uchuro kwenye maisha kila mtu anavipaumbele vyake
Kweli mkuu... kuna wahuni wana uboya mwingi[emoji1787]
 
Mbona unampangia jinsi ya kuishi alishakuja kukulia shida acha uchuro kwenye maisha kila mtu anavipaumbele vyake
Yeye amejibu kiungwana sana.
Sema CHAWA mna midomo sana😂
 
hao ni mahawara na si wanandoa watakaodai talaka.
hawara yoyote ni kupssha kiporo
 
Mimi nina mwaka wa sita mkuu, sijuagu kwenye simu ya wife kinaendelea nini.
Haweki password, na mda wote iko open.
Lakini sijawah ingiwa na hamu hata ya kuigusa nione nin kipo ndani.

Ni hatari sana, kugusa simu ya mwenza. Wakuu tuache kabisa.
Hayo ni maisha yako wewe. Tusipangiane
 
Uzinzi sio achievement bali ni kuelekea kwenye upotevu.....vijana acheni kutawaliwa akili zenu na msukumo wa matakwa ya nafsi.......
Na wadogo zetu wa kiume walio vyuo vikuu na hawana maisha bado waishi vipi mkuu ilhali wana matamanio pia? Hela hawana na bado wanatafuta maisha, waishije ili kupunguza hamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…