Nimeamini mtalaka hatongozwi

Nimeamini mtalaka hatongozwi

BLUE BALAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
1,222
Reaction score
786
Juzi nimekutana na X wangu ambae tumeachana miaka mitatu iliyopita baada ya kupata mtu wa kuishi nae.

Jamaa anaeishi nae hana hela wala hajasoma ila mdada kasoma na ana mzigo wa kutosha. Dogo huwa anamind sana yule dada kuwasiliana na mimi.

Ila juzi bwana nimekutana na dada tukaenda tukapiga game safi kabisa. Anasema jamaa anaboa sana utozi mwingi. Kweli mtalaka hatongozwi
 
Juzi nimekutana na X wangu ambae tumeachana miaka mitatu iliyopita baada ya kupata mtu wa kuishi nae. Jamaa anaeishi nae hana hela wala hajasoma ila mdada kasoma na ana mzigo wa kutosha. Dogo huwa anamind sana yule dada kuwasiliana na mimi. Ila juzi bwana nimekutana na dada tukaenda tukapiga game safi kabisa. Anasema jamaa anaboa sana utozi mwingi. Kweli mtalaka hatongozwi

Unajuwa mtu ulimvulia chupi bwana ukikutana nae kuna feeling unazipata unakumbukia zamani
 
Juzi nimekutana na X wangu ambae tumeachana miaka mitatu iliyopita baada ya kupata mtu wa kuishi nae. Jamaa anaeishi nae hana hela wala hajasoma ila mdada kasoma na ana mzigo wa kutosha. Dogo huwa anamind sana yule dada kuwasiliana na mimi. Ila juzi bwana nimekutana na dada tukaenda tukapiga game safi kabisa. Anasema jamaa anaboa sana utozi mwingi. Kweli mtalaka hatongozwi
Siku mnapiga kolabo tu,papuchi hizi hamna kanuni piga tu inavyotakiwa na ukiondoka. Ukija ambiwa kuna jamaa nae kamwaga yake pale utakua.piga kolabo na tozi then mnatoa bonge la mixer
Mi refa tu.
 
Sio wote ila wengine wameumbwa ni warahisi tu,akishamuona X tena kama yuko vizuri financially anaingia kwenye 18 bila hata kuwaza kuwa lengo ni kuonjwa kama alivyoonjwa na kuachwa mwanzoni.Siunaona kama hivi mtoa mada kaonja na kaja kuweka huku hadharani,ikiwa ni mkeo au mtu unayemthamini huwezi kuja kuanika huku...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa, X wanakuwa zaidi ya maharage ya Mbeya. Imebidi niwalime "mute" Xs wawili kwa sababu hizo. Mtu anakuambia nikija mkoani kwako lazima nikuone, tukishaonana sitakubali uniache hivi hivi, tutakumbushia.

...na huyo ni mke halali wa mwanaume mwenzangu. Huwa nawaambia I don't do someone's wife, I have respect for them. Nashukuru hadi hapa "nimeshinda hii vita"
 
Back
Top Bottom