Nimeamini mtalaka hatongozwi

Nimeamini mtalaka hatongozwi

Juzi nimekutana na X wangu ambae tumeachana miaka mitatu iliyopita baada ya kupata mtu wa kuishi nae. Jamaa anaeishi nae hana hela wala hajasoma ila mdada kasoma na ana mzigo wa kutosha. Dogo huwa anamind sana yule dada kuwasiliana na mimi. Ila juzi bwana nimekutana na dada tukaenda tukapiga game safi kabisa. Anasema jamaa anaboa sana utozi mwingi. Kweli mtalaka hatongozwi
Mkuu ndo umeamini hivi karibuni,?

Hiyo ni kawaida hata wenyewe wakikaa ktk vikao vyao wanaliongelea kwa uzuri sana,

Hata sisi pia ni dhaifu upande huo,,

Ndugu na wewe ukioa inabidi uwe mpole tu kuchapiwa kama unavowachapia wenzio.

DUNIA DUARA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo sio kufanya na punda, tatizo kufanya na wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Una point, lakini hapa nachozungumzia wako wakosaji wawili ila angalia mawe yanarushwa kwa nani?
Pili si huwa mnasema huwa mnakinai chakula aina moja, nikupe siri hata ke hukinai sema tu kufumba macho.
Tatu kuna genuine feelings, si huwa mnasema humu huwa kuna wakati me huoa tu kwa hisia ila maslahi mengine, unajua nini kuna cases hizo pia kwa ke! So hold on wekeni mawe chini.
 
Juzi nimekutana na X wangu ambae tumeachana miaka mitatu iliyopita baada ya kupata mtu wa kuishi nae. Jamaa anaeishi nae hana hela wala hajasoma ila mdada kasoma na ana mzigo wa kutosha. Dogo huwa anamind sana yule dada kuwasiliana na mimi. Ila juzi bwana nimekutana na dada tukaenda tukapiga game safi kabisa. Anasema jamaa anaboa sana utozi mwingi. Kweli mtalaka hatongozwi

Mwanamke kama mliachana kistaarabu alafu mzee ndalama ipo ah kupasha kiporo wala sio kazi.
 
Kabisa, X wanakuwa zaidi ya maharage ya Mbeya. Imebidi niwalime "mute" Xs wawili kwa sababu hizo. Mtu anakuambia nikija mkoani kwako lazima nikuone, tukishaonana sitakubali uniache hivi hivi, tutakumbushia.

...na huyo ni mke halali wa mwanaume mwenzangu. Huwa nawaambia I don't do someone's wife, I have respect for them. Nashukuru hadi hapa "nimeshinda hii vita"

Ah wee nae unazingua...wakijileta wee wagegede tuu mwanawane au unaogopa tego kwenye papuchi zao?
 
Dooh!!!! Haya bana.Dear X nakuheshim huko ulipoo.Nikiandika chchote kuhusu ww hapa jukwaan basi ni yale mazur yako tu na si vinginevyo
 
Mm mwenyewe Kuna X wangu tunakutanaga tuu afu baada ya muda mfupi ananiita nakula mzgo afu apo apo nakiamsha Tena anafua Ad no kumbe anayokichwan cjui tatzo nn Ani mnaweza chuniana miez Ata minne ila ukimtafta a najifanya kukaza ukiendelea anajilegeza anakuja geto tuu
Juzi nimekutana na X wangu ambae tumeachana miaka mitatu iliyopita baada ya kupata mtu wa kuishi nae.

Jamaa anaeishi nae hana hela wala hajasoma ila mdada kasoma na ana mzigo wa kutosha. Dogo huwa anamind sana yule dada kuwasiliana na mimi.

Ila juzi bwana nimekutana na dada tukaenda tukapiga game safi kabisa. Anasema jamaa anaboa sana utozi mwingi. Kweli mtalaka hatongozwi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ilitakiwa hiwe comment katika Uzi wa kula tunda kimasihara How wewe umefanya kuwa Uzi

Ha ha
 
Back
Top Bottom