Nimeamini Lowassa ndiye rais ajaye


Team Lowasa kazini.
 
Hii mada niliiposti usiku wa kuamkia tarehe 22 oct 2013 sikutegemea kuwa kuna taasisi kama TWAWEZA wanaweza kuja na takwimu iliyosawa na ndoto yangu. Mungu mkubwa,tutaheshimiana tu.
 

yaaani nimechekajeee!!! hahahahahaaaa!!!! we ni ZOMBI KWELI
 
hii mada niliiposti usiku wa kuamkia tarehe 22 oct 2013 sikutegemea kuwa kuna taasisi kama twaweza wanaweza kuja na takwimu iliyosawa na ndoto yangu. Mungu mkubwa,tutaheshimiana tu.

bado unaota auu???!!!
 
Watanzania Tumeshaapa Fisadi Huyu Hawezi Kuwa Rais.
 
Kwa hali ilivyo sasa hakuna wa kumzuia Lowassa ndani ya CCM... Ile omba usiote unataga!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…