hebu toa uongo hapa nmimi ninachojua mwaka huu TO ana div1 ya point 4 sasa wewe cjui hyo yako umetolea wapi?[/QUOT
Shughulisha akili yako acha kukurupuka. Sasa mwenzako ametaja div 1 ya point 3 hapo?
Alichisema ana 3 ya PCB umekurupuka kwa kudhani div 1. Usimprovoke mtu kama hujamuelewa.
wadau nina
chem C
bios. C
geogr D
bam. S
gs. F
na mimeachwa kwa jkt najiuliza maswali ambayo majibu yake siyaoni! au CBG nayo comb ya art?
Sayansi ni reproduction..SAyaNSI NI NI NI
Madogo someni vizuri lile tangazo la JKT, walisema tangazo hilo haliwahusu wanafunzi waliomaliza kwenye zile shule ambazo mwaka jana walikwenda. Mfano Tabora Boys hakuna aliyechaguliwa, sasa je nyie hamjamaliza kwenye shule ambazo mwaka jana kaka zenu walikwenda JKT?
wadau nina
chem C
bios. C
geogr D
bam. S
gs. F
na mimeachwa kwa jkt najiuliza maswali ambayo majibu yake siyaoni! au CBG nayo comb ya art?
hyo cjaisikia mim 4rm where ?
wadau nina
chem C
bios. C
geogr D
bam. S
gs. F
na mimeachwa kwa jkt najiuliza maswali ambayo majibu yake siyaoni! au CBG nayo comb ya art?
Hebu toa upumbav hapa kwan umeambiwa ni wote wamepangwa? Subr awamu ya 3