Umeona ee😁😁Ataachwa na kisukari na presha 😂😂😂 atakufa baada ya mwezi mmoja tu wa stress
Shunie kausha muache amnyonye damu mpaka za uti wa mgongo
Maziwa yepi. Mtindi au freshKunywa angalau nusu lita ya maziwa kila siku.
Ahsante sana kwa ushauriUshauri ambao naona utakusaidia zaidi ni kula vyakula hasa wanga na protini, maji ya kutosha tunda usisahau. Piga sana mazoezi ingia gym baada ya week 2 njoo rudisha mrejesho.
Mama Terry acha kuniwazia mabaya mimi ni mwanadamu mwenzio ujueDuuh ajiandae na maradhi akishanenepa afu ataachwa😁
Siachhwi ng'oAtaachwa na kisukari na presha 😂😂😂 atakufa baada ya mwezi mmoja tu wa stress
Ahsante mimi nimekuelewaUrefu na ufupi sio matakwa yetu! Ila unene au wembamba ni juhudi zako tu!
Ingia gym
Anajua mpaka account yangu ina shilingi ngapi. Kama tatizo lingekuwa ni hela angeniambia maana mpka PIN ya ATM yangu anayoUkiona Ivo huna hela mdau
Yeye amesema kwa mwili wangu naweza kunenepa kwa hyo ameniachia kazi ya kunenepaAcha kumdanganya mwenzio wengine hata wale nn hawanenepi!
NiacheeeeeereNa ukinenepa halafu akakukubali kwa hayo mahusiano lazima ukonde, na ukikonda anakukataa😂😂😂
Potelea pote mi namtama yeyeHuyo demu anataka aringishie mashost zake kuwa bwana ake ana kitambi ujinga ujinga yaani
Na kiukweli huyo demu hampendi hata kiduchu kama hii stori sio chai
hahahah mwambie bibie akikupa amani ya roho tu utanenepa bila hata kula utanawiriiii,. afu mwambie sisi mama zake tulioana na baba zake wakiwa kama ukuni sasa hiv wamenawiri kwa kupata chakula cha mwili na rohooMama Terry acha kuniwazia mabaya mimi ni mwanadamu mwenzio ujue
Pamoja na ushauri uliopatiwa na wadau usisahau kumwambia aondoe hofu ya kimbunga kwasabu kwa sasa hali ni shwari (kimeyeyuka). Kazi iendeleeKaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.
Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lakini vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.
Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi
Nawasilisha
UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.
Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee.
😀😀😀😀poleeKaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi.
Back to the topic
Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana lakini vyote nimevishinda na sasa kimebaki kimoja tu kwamba yeye hapendi wanaume wembamba so amenipa masharti kwamba niongezeke mwili kidogo ili anikubali niwe mume wake.
Nakuja hapa kwenu kuwaomba mbinu hasa za kiafya za namna ya kuongeza mwili kwa muda mfupi
Nawasilisha
UPDATES
Nahitaji ushauri wa namna ya kunenepa wala sio kumuacha. Maana naona kuna watu wanakuja mara ooh hakupendi, mara ooh hakuna ndoa hapo, mara hakuna mapenzi ya masharti.
Jamani kama ni mapenzi kuniendesha basi huyu binti ameshanimaliza imebaki kuniuwa tu. Nampenda na simuachi kama ni kuniua basi nifeeeee.
Polepole kanenepa haswa sio utaniMkuu, hata ahangaike nayo haya yote uliyo mshauri na akapata majibu chanya, ndoa haipo.
Na kama huyo jamaa ana mwili kama wa Polepole wa ccm hata alale na hivyo vyakula kitandani hanenepi ng'o.
Awaachie tu waoaji wamuoe huyo kisukunuku
Kuna watu hawanenepi hata wale vp...Kula mishkaki ya nundu kwa mwezi mmoja utaleta mrejesho! Hakikisha unaila na ugali wa nguvu mida ya usiku!
Asubuhi piga supu daily na vyapati vyapati!
Mchana kula chips mayai + Kuku wa kukaangwa!
Fanya hii Diet kwa mwezi tu kisha utaleta mrejesho