Nimeahirisha tena je n'taruhusiwa tena?

Nimeahirisha tena je n'taruhusiwa tena?

Junior Tata

Member
Joined
Oct 18, 2015
Posts
18
Reaction score
2
naomba mnisaidie, mwaka jana nilichaguliwa kujiunga na chuo fulan hapa tz(SUA) kutokana na matatzo ya kiafya nilienda nikasajiriwa badae nikaomba kuahirisha nikakubaliwa nikarud kwenye matibabu. mwaka huu ndo ilitakiwa niende lakn mpaka muda huu afya yang haijakaa sawa, naomba kuulza
1. nisipoenda mwaka huu mwakani nikienda ntakubaliwa au itabid niombe upya tcu
2. nikienda kutoa taarfa ntaruhusiwa kuahirisha tena
 
wajuzi wanakuja,ila mi ninachofahamu sio N'TACHAGULIWA bali ni "nitachaguliwa"
 
Kuahirisha mwisho ni mara tatu tu..........
 
Ndo hivo inabidi uende tena uhairishe au tafuta sua prospectus mtandaoni kuna kila kitu.
 
usipotoa Taarifa ni discontinue ndugu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom