Nimeachwa na mpenzi wangu jamani!

Nimeachwa na mpenzi wangu jamani!

Usiwekeze sana kwa mwanamke, kama uko naye mzalishe idadi ya watoto wa kutosha ili kumpunguzia thamani.
Kuna yule mwamba kule US mwanamke amemfilisi mali na kurudi kwa x wake
 
Mimi tabia ya unafiki sinaga kwakweli nikisikia au kuona mwanaume ameachwa huwa nafurahi sana. kuna mtoto wa mwanamke mwenzangu uliniachaga na kunipiga tukio moja takatifu yaani mbwa yule popote alipo naomba awe anaachwa kila siku.
Asee pole sana dada kidoti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom