Acha utoto mzee, kipimo kikubwa cha uanaume na kuweza kuishi na mwanamke.Muulize baba yako, uliza wanaume mambo wanayopitia, hapo kwako sijaona issue yoyote ya maana.Ishi na MWANAMKE kwa akili...mjue mkeo na ujinga wake..then endeleeni na maisha..
Kuna huyo wako anakupigia makelele, kuna wenzako mwanamke ananuna wiki nzima..mdomo unavimba hatari...na mzigo hupati...wanaume tunajua namna ya kuhandle hawa mama zetu
RUDI KWA MKEO, MPIGIE SIMU, MJALI KWA HALI ALIYINAYO....AS long as hachepuki, hakudhuru wewe binafsi etc haiba haja ya kuachana..
Pia inaonekana na wewe unaongea sana, mnajibizana sana..hakuna mwenye maneno machache....jishushe..nyamaza vingine, usitake kupata majibu kwa kila kitu..wanawake wana mood sana..
Kila la kheri