Nimeachana na mke wangu

Nimeachana na mke wangu

Maamuzi yako ni sahihi wewe ni Kama mimi sipendi vita na mwanamke kabisa ni kumuacha na kuangalia maisha mengine unaweza shikwa hasira ukafanya kitu kibaya sana

Acha tu mkuu kimuweka sawa mtu ambae yuko katika hali hiyo ni changamoto sana
 
Acha utoto mzee, kipimo kikubwa cha uanaume na kuweza kuishi na mwanamke.Muulize baba yako, uliza wanaume mambo wanayopitia, hapo kwako sijaona issue yoyote ya maana.Ishi na MWANAMKE kwa akili...mjue mkeo na ujinga wake..then endeleeni na maisha..

Kuna huyo wako anakupigia makelele, kuna wenzako mwanamke ananuna wiki nzima..mdomo unavimba hatari...na mzigo hupati...wanaume tunajua namna ya kuhandle hawa mama zetu

RUDI KWA MKEO, MPIGIE SIMU, MJALI KWA HALI ALIYINAYO....AS long as hachepuki, hakudhuru wewe binafsi etc haiba haja ya kuachana..

Pia inaonekana na wewe unaongea sana, mnajibizana sana..hakuna mwenye maneno machache....jishushe..nyamaza vingine, usitake kupata majibu kwa kila kitu..wanawake wana mood sana..
Kila la kheri

Sawa mkuu
 
Ila mkuu we na mkeo sijui mna shida gani mara asafiri safari za ghafla mara uje tena useme unamchukia mkeo

Kama mmefikia maamuzi haya ni bora ili kila mmoja aishi kwa amani

Mambo nimengi kwenye haya maisha mkuu
 
Pole sana kwa kweli ila hii tabia toka zamani au ni katika hali hii ya ujauzito? Kuna kitu kimoja huwa nasema mke akiwa na amani na mume anakuwa na amani na family kwa ujumla, Mke ndio kila kitu katika mahusiano anaweza kujenda na anaweza kubomoa. Huwezi kufanikiwa katika kazi zako ukiwa na mwanamke hakupi amani nyumbani kiwango chako cha uzalishaji kazini kitapungua tu ulichofanya sawa mpe space siku aelewe kuwa kwanini umeamua hivyo. Kwa wanawake nawashauri dawa ya Mume hata kama kakosea ukiwa mpole na muelewa nakuhakikishia unajenda uimara wa ndoa yako mume hata aende wapi atakupa heshima. Tabia ni kila kitu.

Nikweli mkuu ulichosema
 
Naomba nikupe uzoefu wangu..Siku ya kwanza nimeenda na shemeji y'ako kupima mimba.Baada ya majibu Dr alichonieleza ..sasa unatakiwa kuwa mwanamme kamili..wanawake wakiwa wajawazito huwa na tabia za ajabu ..usikasirike we jua ni kwa sababu ya ujauzito..na kweli yalitokea mengi ya kukwaza ila niliyavumilia..
Nachoweza kukushauri mpende mkeo ...na subiri baada ya kujifungua utaona mabadiliko..
Mimba Zina shida sana..nilishawahi kuamshwa saa Tisa usiku nikatafute chipsi...na Binti analia kabisaaa

Nikweli mkuu nimekuelewa
 
Mke wangu aliwah kuwa na tabia za hv,mwanzo nilkuwa namzingatia ila baadae ilibid nimpuuzie,yaan anagombana yeye na anaanza kulia yeye mwanzo nilkuwa namwonea huruma baadae nikawa simjali mpaka kajifungua

Usiku tukilala nilikuwa nalala kama sipo basi ataanza kunichokoza ili nimgegede,nilkuwa najituliza kama simsikii ila akiendelea sana namuandaa vizur naanza kumpelekea moto wa hatar namgeuza kila sehemu nahakikisha mpaka amekoma ndo namuacha bahati nzur mke wangu huwa sina hisia nae yaan naweza kujizuia kumwaga wadhungu hata nusu saa
 
Ukitaka mdumu na mwanamke bhasi jifunze kukaa KIMYA yeye akiwa anaropokaa yani jifanye humsikii alafu hata kama unamjibu sio yote lazima umjibu.. mwanamke wangu nilimwambia wewe ukiweza ongea usiku mzima ila USINITUKANE WALA KUNIVUNJIA HESHIMA.

So ni asili yao kumind hata vitu visivyo na maana na kuongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia wa mambo yalivyo kingine usipende kushirikisha ndugu zako au zake kwenye matatizo yenu acha yeye akayapeleke huko.
 
tunachotaka uje hapa utwambie umeachana na wazo la kumuacha mkeo mzuri, kumbuka nyakati nzuri mlizokuwa pamoja,imagine mtoto wenu mzuri atakayezaliwa mtoto anawahitaji sana na mkeo pia anakuhitaji sana kipindi hiki, kiukweli miezi tisa sio mingi jitahidi kuvumilia,alafu mtoe out mwambie namna unampenda na ulivyo na hamu na ujio wa mgeni mpya kwenye familia.

kingine dili na matatizo ya familia yako siyo kuanza kuwahusisha ndugu kwa tatizo dogo kama hilo
 
Ukitaka mdumu na mwanamke bhasi jifunze kukaa KIMYA yeye akiwa anaropokaa yani jifanye humsikii alafu hata kama unamjibu sio yote lazima umjibu.. mwanamke wangu nilimwambia wewe ukiweza ongea usiku mzima ila USINITUKANE WALA KUNIVUNJIA HESHIMA. So ni asili yao kumind hata vitu visivyo na maana na kuongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia wa mambo yalivyo kingine usipende kushirikisha ndugu zako au zake kwenye matatizo yenu acha yeye akayapeleke huko.
kabisa mkuu mwanaume kutaka ligi na mwanamke ni kujitafutia matatizo
 
Asantee mkuu
Yeah nikweli mkuu nampenda wife ila acha iwe tu hayo maisha siwez moyo umeshagoma
Kuhusu shemeji haiwez kutokea mkuu
Pole Sana Kaka. Nasikitika anayopitia mwanao aliyeko tumboni. Anachopitia mama kina effect sana kwenye makuzi ya Mwanao tumboni na hata atakapozaliwa.

Wakati wa ujauzito kwa mwanamke Ni wakati wa kuignore baadhi ya Mambo kwa ajili ya faida ya Mama na Mtoto pekee.
 
Ukweli ni kwamba Mungu hakupi unachotaka anakupa unachostahili



We jamaa utakuwa kama sio una depression basi kuna shida mahali!! Hata mwezi haujaisha umeandika haya!! Leo unakuja na Mengine. Unaonekana kichwani hauko Sawa kabisa!!
 
Mimba imekua kama sehemu ya kujiendekezea ili kutimiza mambo ambayo wazazi hawajakufanyia kwenu eti homoni

Homoni gani bwanaa homoni zina react mwilini sio zinatuma udongo sijui pweza...

Dadaa omba yasikukute mimba yaja tofauti tofautiani na sikatai kwamba hamna wanaodeka ila omba upate mimba pole tofauti na hapo utarudi hapa kuomba radhi.
 
Back
Top Bottom