mkunga wa jadi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2025
- 208
- 431
Rasmi leo nimeamua kuachana na mke wangu baada ya kuishi nae kwenye ndoa for almost mwezi moja baada ya matokea yake ya chuo kupata GPA ya 4.4 mke wangu nilimuoa akiwa mwaka wa mwisho chuo kikuu na miaka yote alikuwa anapata GpA above 4.5 ila haya matokeo ya mwisho amepata 4.4 hii kitu imenikasirisha
So nimeamua kumpa talaka papo hapo nimeamua kuwatafuta ma internship hawa wanaofanya kazi kwenye hospital ya froedtert hospital hapa maddison Wisconsin
Mke wangu alikuwa anasoma chuo kikuu cha Wisconsin university, Milwaukee na mimi nafanya kazi hapa foedtert hospital hapa Wisconsin# nitaishi vipi na mke mburula hivi ambaye anapata GPA below 4.5 hivi kiuhalisia unapataje GPA below 4.5? Si ataniletea watoto mburula na majuha huyu?
Mkunga wa Jadi
Kwasasa, potosi street house number 3600,Madison Wisconsin.
So nimeamua kumpa talaka papo hapo nimeamua kuwatafuta ma internship hawa wanaofanya kazi kwenye hospital ya froedtert hospital hapa maddison Wisconsin
Mke wangu alikuwa anasoma chuo kikuu cha Wisconsin university, Milwaukee na mimi nafanya kazi hapa foedtert hospital hapa Wisconsin# nitaishi vipi na mke mburula hivi ambaye anapata GPA below 4.5 hivi kiuhalisia unapataje GPA below 4.5? Si ataniletea watoto mburula na majuha huyu?
Mkunga wa Jadi
Kwasasa, potosi street house number 3600,Madison Wisconsin.