MissM4C JF-Expert Member Joined Aug 31, 2012 Posts 1,741 Reaction score 1,006 Dec 31, 2023 #1 Nimekuwa mdau tangu 2016 leo baada ya miaka 7, nimetundika daruga. Nanyi pia nawaombea
Ze_Papirii JF-Expert Member Joined Oct 12, 2018 Posts 585 Reaction score 1,155 Dec 31, 2023 #2 Linapokuja suala la kuingia mwaka mwngne kila mtu anataka ache kila shda lakn kutimiza sasa
R Road Traffic Signal JF-Expert Member Joined Mar 17, 2022 Posts 621 Reaction score 1,963 Dec 31, 2023 #3 MissM4C said: Nimekuwa mdau tangu 2016 leo baada ya miaka 7, nimetundika daruga. Nanyi pia nawaombea Click to expand... Yana muda basi. Pombe utakunywa nakuambia!
MissM4C said: Nimekuwa mdau tangu 2016 leo baada ya miaka 7, nimetundika daruga. Nanyi pia nawaombea Click to expand... Yana muda basi. Pombe utakunywa nakuambia!
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,415 Reaction score 27,296 Dec 31, 2023 #4 Tukutane kwenye hesabu za kihasibu 31/12/2024
Magdalene_joseph JF-Expert Member Joined Jun 26, 2023 Posts 231 Reaction score 617 Dec 31, 2023 #5 Kila la heri! Kuna huyu mbwa wangu sa hizi yupo kwenye pombe kaniacha home na watoto!
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 44,151 Reaction score 104,716 Dec 31, 2023 #6 Mapumziko mema mkuu, najua mwakani utakuja na nguvu mpya na kasi ya ajabu
Ze_Papirii JF-Expert Member Joined Oct 12, 2018 Posts 585 Reaction score 1,155 Dec 31, 2023 #7 Magdalene_joseph said: Kila la heri! Kuna huyu mbwa wangu sa hizi yupo kwenye pombe kaniacha home na watoto! Click to expand... Aaaahhh km ndo unamuitaga hvo wacha ajinywee zake tu
Magdalene_joseph said: Kila la heri! Kuna huyu mbwa wangu sa hizi yupo kwenye pombe kaniacha home na watoto! Click to expand... Aaaahhh km ndo unamuitaga hvo wacha ajinywee zake tu
Magdalene_joseph JF-Expert Member Joined Jun 26, 2023 Posts 231 Reaction score 617 Dec 31, 2023 #8 Ze_Papirii said: Aaaahhh km ndo unamuitaga hvo wacha ajinywee zake tu Click to expand... Mtu asiyeweka mguu nyumbani ana jina lipi tena
Ze_Papirii said: Aaaahhh km ndo unamuitaga hvo wacha ajinywee zake tu Click to expand... Mtu asiyeweka mguu nyumbani ana jina lipi tena
A antimatter JF-Expert Member Joined Feb 26, 2017 Posts 49,793 Reaction score 130,744 Dec 31, 2023 #9 MissM4C said: Nimekuwa mdau tangu 2016 leo baada ya miaka 7, nimetundika daruga. Nanyi pia nawaombea Click to expand... Ikipita salama angalau miezi 9 ndo utajua kweli umeacha
MissM4C said: Nimekuwa mdau tangu 2016 leo baada ya miaka 7, nimetundika daruga. Nanyi pia nawaombea Click to expand... Ikipita salama angalau miezi 9 ndo utajua kweli umeacha
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,269 Dec 31, 2023 #10 Mwaka wangu uwa unabadilika sambamba na mwaka wa fedha π€ July 2024 mimi ndio new year ππ Acha pombe Miss, ila usiache mvinyo kwa ajili ya tumbo lako.
Mwaka wangu uwa unabadilika sambamba na mwaka wa fedha π€ July 2024 mimi ndio new year ππ Acha pombe Miss, ila usiache mvinyo kwa ajili ya tumbo lako.
ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 52,564 Reaction score 119,621 Dec 31, 2023 #11 Magdalene_joseph said: Mtu asiyeweka mguu nyumbani ana jina lipi tena Click to expand... Tafuta jina lingine, siamini uliamua kuishi na mbwa.
Magdalene_joseph said: Mtu asiyeweka mguu nyumbani ana jina lipi tena Click to expand... Tafuta jina lingine, siamini uliamua kuishi na mbwa.
Ze_Papirii JF-Expert Member Joined Oct 12, 2018 Posts 585 Reaction score 1,155 Dec 31, 2023 #12 Magdalene_joseph said: Mtu asiyeweka mguu nyumbani ana jina lipi tena Click to expand... Embu anza kumuita majina mazuri uone km hatokua anatulia hapo
Magdalene_joseph said: Mtu asiyeweka mguu nyumbani ana jina lipi tena Click to expand... Embu anza kumuita majina mazuri uone km hatokua anatulia hapo
M Mufti kuku The Infinity JF-Expert Member Joined Sep 21, 2019 Posts 6,907 Reaction score 12,196 Dec 31, 2023 #13 MissM4C said: Nimekuwa mdau tangu 2016 leo baada ya miaka 7, nimetundika daruga. Nanyi pia nawaombea Click to expand... Umeacha au umepumzika?
MissM4C said: Nimekuwa mdau tangu 2016 leo baada ya miaka 7, nimetundika daruga. Nanyi pia nawaombea Click to expand... Umeacha au umepumzika?
M Mufti kuku The Infinity JF-Expert Member Joined Sep 21, 2019 Posts 6,907 Reaction score 12,196 Dec 31, 2023 #14 Magdalene_joseph said: Kila la heri! Kuna huyu mbwa wangu sa hizi yupo kwenye pombe kaniacha home na watoto! Click to expand... Achana na huyo mbwa, njoo unifuge mm sipend pombe πΉ
Magdalene_joseph said: Kila la heri! Kuna huyu mbwa wangu sa hizi yupo kwenye pombe kaniacha home na watoto! Click to expand... Achana na huyo mbwa, njoo unifuge mm sipend pombe πΉ
Vhagar JF-Expert Member Joined Jun 8, 2015 Posts 20,774 Reaction score 40,445 Dec 31, 2023 #15 MissM4C said: Nimekuwa mdau tangu 2016 leo baada ya miaka 7, nimetundika daruga. Nanyi pia nawaombea Click to expand... Kila la heri.
MissM4C said: Nimekuwa mdau tangu 2016 leo baada ya miaka 7, nimetundika daruga. Nanyi pia nawaombea Click to expand... Kila la heri.
ras jeff kapita JF-Expert Member Joined Jan 4, 2015 Posts 22,729 Reaction score 34,830 Dec 31, 2023 #16 Magdalene_joseph said: Kila la heri! Kuna huyu mbwa wangu sa hizi yupo kwenye pombe kaniacha home na watoto! Click to expand... Hiyo ndio kazi yako ya msingi
Magdalene_joseph said: Kila la heri! Kuna huyu mbwa wangu sa hizi yupo kwenye pombe kaniacha home na watoto! Click to expand... Hiyo ndio kazi yako ya msingi
Bufa JF-Expert Member Joined Mar 31, 2012 Posts 13,645 Reaction score 28,811 Dec 31, 2023 #17 Usimuamini mtu asiyekunywa pombe hata kidogo.
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,302 Reaction score 72,051 Dec 31, 2023 #18 Magdalene_joseph said: Kila la heri! Kuna huyu mbwa wangu sa hizi yupo kwenye pombe kaniacha home na watoto! Click to expand... Subiri povu toka kwa wapiga gambe mkuu, watakuambia ni stori ya upande mmoja.
Magdalene_joseph said: Kila la heri! Kuna huyu mbwa wangu sa hizi yupo kwenye pombe kaniacha home na watoto! Click to expand... Subiri povu toka kwa wapiga gambe mkuu, watakuambia ni stori ya upande mmoja.
S Soulja boy JF-Expert Member Joined Oct 3, 2015 Posts 4,618 Reaction score 8,060 Dec 31, 2023 #19 Ze_Papirii said: Aaaahhh km ndo unamuitaga hvo wacha ajinywee zake tu Click to expand... πππ Akijipooze stress.
Ze_Papirii said: Aaaahhh km ndo unamuitaga hvo wacha ajinywee zake tu Click to expand... πππ Akijipooze stress.
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,903 Reaction score 57,682 Dec 31, 2023 #20 Natamani kujua mbinu uliyotumia kuacha pombe, maana mimi kila nikijaribu kuacha napumzika wiki moja narudia tena Karibu Chamani π π₯
Natamani kujua mbinu uliyotumia kuacha pombe, maana mimi kila nikijaribu kuacha napumzika wiki moja narudia tena Karibu Chamani π π₯