Nime sahau password namba ya account yangu ya chuo

Nime sahau password namba ya account yangu ya chuo

peterK2

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
293
Reaction score
91
Habari Jf,nifanye nini ili niweze pata hizi namba za siri za account niliyo ombea chuo kila niki jaribu ku renew kwa kupitia email na ambiwa email is alredy taken au ni system za udom ni mbovu
 
Shida sio kuwapigia ila hadi waje wampokelee simu yake duh ajipange

nime wa pigia wame pokea na shukuru nime zijua tena password,lakini niliyo ya kuta kwenye account yangu siamni kabsa hadi diploma na ambiwa niombe third round na shindwa kuelewa wana angalia vigezo gani na kozi zilizo baki hakuna pendwa kwangu
 
nime wa pigia wame pokea na shukuru nime zijua tena password,lakini niliyo ya kuta kwenye account yangu siamni kabsa hadi diploma na ambiwa niombe third round na shindwa kuelewa wana angalia vigezo gani na kozi zilizo baki hakuna pendwa kwangu
Jamaa niliona post yako baada ya kusahau password uliyotumia kuomba usajili wa chuo

Je walikupa njia gan ya namna ya kuirudisha au walikutumia wenyewe
 
nime wa pigia wame pokea na shukuru nime zijua tena password,lakini niliyo ya kuta kwenye account yangu siamni kabsa hadi diploma na ambiwa niombe third round na shindwa kuelewa wana angalia vigezo gani na kozi zilizo baki hakuna pendwa kwangu
kama hakuna kozi unazopenda kaa nyumbani mpk mwakani bodaboda zipo tutanunua tutakuajiri uendeshe
 
Hili tatizo na Mimi limenikuta leo, nimejaribu kuwapigia hao watu wa admission lakini hawashiki simu kabisa .nikafungua account mpya je Kuna tatizo lolote?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom