pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
'Ukatili' ulifanyika vituoni!
Kwa hiyo unataka kunitoa roho kwa sababu nimesema ukweli?M
Mpuuzi, Unaogopa Kufa??
hizi hekaya za bei nafuu unaleta hapa
Nimetumwa na nani? Nipinge huko ili nife ? Hapa ninausema ukweli tu.Sasa unatuambia ili iweje, kama uliona si sawa ungepinga huko sio kuja huku. Halafu nani atakuamini bila uthibitisho maana unaweza kuwa umetumwa tu
Acha upumbavuUnao ushahidi?
Tukikutaka utoe ushirikiano upo tayari?
Sheria hairuhusu kuwapeleka mahakamani wezi wa kuraNi tabia ya walioshindwa kujenga conspiracy theories; hata Trump ameshindwa uchaguzi wakati akiwa rais, naye anatoa theories kama hizi. Ni jambo la kawaida sana kwa walioshindwa kudai wameibiwa kura. Kama uliyaona kwa nini usipeleke uashahidi mahakamani? Angalu Trump amekuwa anakwenda mahakani ambako anakutana na vigingi, tena wakati mwingine kutoka kwa majaji aliowateua yeye mwenyewe.
Binafsi niliyoyaona katika Uchaguzi Mkuu huu uliomalizika nchini Tanzania ni Watanzania 84.4% Kumpenda mno tu Rais Dk. Magufuli na CCM yake.Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.
Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.
Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Kama hayaNimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.
Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.
Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Maigizo haya, ninakuona kila page upo, inaonekana mwenzetu uko kazini ukiipigania Lumumba. Hongera sana.Binafsi niliyoyaona katika Uchaguzi Mkuu huu uliomalizika nchini Tanzania ni Watanzania 84.4% Kumpenda mno tu Rais Dk. Magufuli na CCM yake.
Sio uchaguzi sema uchafuzi!Uchaguzi
GENTAMYCINE ni CCM na CCM ni GENTAMYCINE hivyo sijaona kabisa sababu ya Wewe Kunishangaa au Kushangaa 'nikitetea' Chama na Rais JPM.Maigizo haya, ninakuona kila page upo, inaonekana mwenzetu uko kazini ukiipigania Lumumba. Hongera sana.
Mnaiba ili watu wakose ushahidi? Mimi ninao. Hii kauli ya chizi wenu kwa wakurugenzi watendaji wa halmashauri;-Unao ushahidi?
Tukikutaka utoe ushirikiano upo tayari?
Alafu humu kuna mitaahira! Hivi unaijua hii katiba yenu ya ki KONYO inasemaje kuhusu m/ kiti wa tume ya uchaguzi akishamtangaza mshindi wa uraisi kwa mtindo wowote ule? Nchi hili halijawahi kuwa na uchaguzi, na hautatokea kama hayo matamshi yaki shoga hayatafutwa katika katiba.Uchaguzi umeisha wewe hujasikia? Leo ukitueleza upuuzi wako huu unadhani sisi ni UN? Nenda Mahakamani
Unapata faida gani kushabikia dhuluma kwa binadamu wenzako? Ipo siku hao unaowashabikia watakuvunjia yai.GENTAMYCINE ni CCM na CCM ni GENTAMYCINE hivyo sijaona kabisa sababu ya Wewe Kunishangaa au Kushangaa 'nikitetea' Chama na Rais JPM.
Wewe walipokuwa wakikuvunjia hayo 'Mayai' umepata madhara yoyote labda? CCM ndiyo Chama 'Dola' na Magufuli ndiyo Rais halali wa Tanzania.Unapata faida gani kushabikia dhuluma kwa binadamu wenzako? Ipo siku hao unaowashabikia watakuvunjia yai.
UpuuziNimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.
Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.
Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Yale majeshi mliyokodi kutoka Burundi kuiba kura mbona bado hamjayarudisha ??Uchaguzi umeisha wewe hujasikia? Leo ukitueleza upuuzi wako huu unadhani sisi ni UN? Nenda Mahakamani
Upuuzi
Kama walivyowavunjia 'Mayai' waliohangaika Kukuleta hapa ulimwenguni.Unapata faida gani kushabikia dhuluma kwa binadamu wenzako? Ipo siku hao unaowashabikia watakuvunjia yai.
Kuna kitu lazima kitokee nchini, muda utaongea.Ni kweli upuuzi , kwani mlikodisha majeshi kutoka Burundi yasaidie kuiba kura na bado hamjayarudisha , au sasa mnataka yakulindeni na hasira za wananchi ???