Uchaguzi 2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

Mbowe alisema hivi, anae amini trh 28 kulikuwa na uchaguzi akapimwe akili, sasa sijui ni kweli au uongo
 
Sasa unatuambia ili iweje, kama uliona si sawa ungepinga huko sio kuja huku. Halafu nani atakuamini bila uthibitisho maana unaweza kuwa umetumwa tu
Nimetumwa na nani? Nipinge huko ili nife ? Hapa ninausema ukweli tu.
 
Ni tabia ya walioshindwa kujenga conspiracy theories; hata Trump ameshindwa uchaguzi wakati akiwa rais, naye anatoa theories kama hizi. Ni jambo la kawaida sana kwa walioshindwa kudai wameibiwa kura. Kama uliyaona kwa nini usipeleke uashahidi mahakamani? Angalu Trump amekuwa anakwenda mahakani ambako anakutana na vigingi, tena wakati mwingine kutoka kwa majaji aliowateua yeye mwenyewe.
Sheria hairuhusu kuwapeleka mahakamani wezi wa kura
 
Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.

Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.

Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Binafsi niliyoyaona katika Uchaguzi Mkuu huu uliomalizika nchini Tanzania ni Watanzania 84.4% Kumpenda mno tu Rais Dk. Magufuli na CCM yake.
 
Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.

Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.

Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Kama haya
IMG_20201112_162210.jpeg
 
Binafsi niliyoyaona katika Uchaguzi Mkuu huu uliomalizika nchini Tanzania ni Watanzania 84.4% Kumpenda mno tu Rais Dk. Magufuli na CCM yake.
Maigizo haya, ninakuona kila page upo, inaonekana mwenzetu uko kazini ukiipigania Lumumba. Hongera sana.
 
Maigizo haya, ninakuona kila page upo, inaonekana mwenzetu uko kazini ukiipigania Lumumba. Hongera sana.
GENTAMYCINE ni CCM na CCM ni GENTAMYCINE hivyo sijaona kabisa sababu ya Wewe Kunishangaa au Kushangaa 'nikitetea' Chama na Rais JPM.
 
Unao ushahidi?
Tukikutaka utoe ushirikiano upo tayari?
Mnaiba ili watu wakose ushahidi? Mimi ninao. Hii kauli ya chizi wenu kwa wakurugenzi watendaji wa halmashauri;-
"Nikulipe mshahara mkubwa, nikupe gari na full wese,Ofisi full kipupwe halafu unitangazie mpinzani kashinda"
Si dhambi Mdee akisema " kwa kukamata mabengi ya kura ya bwana wenu, asinitambie namuona kama NANIHII TU."
 
Uchaguzi umeisha wewe hujasikia? Leo ukitueleza upuuzi wako huu unadhani sisi ni UN? Nenda Mahakamani
Alafu humu kuna mitaahira! Hivi unaijua hii katiba yenu ya ki KONYO inasemaje kuhusu m/ kiti wa tume ya uchaguzi akishamtangaza mshindi wa uraisi kwa mtindo wowote ule? Nchi hili halijawahi kuwa na uchaguzi, na hautatokea kama hayo matamshi yaki shoga hayatafutwa katika katiba.
 
GENTAMYCINE ni CCM na CCM ni GENTAMYCINE hivyo sijaona kabisa sababu ya Wewe Kunishangaa au Kushangaa 'nikitetea' Chama na Rais JPM.
Unapata faida gani kushabikia dhuluma kwa binadamu wenzako? Ipo siku hao unaowashabikia watakuvunjia yai.
 
Unapata faida gani kushabikia dhuluma kwa binadamu wenzako? Ipo siku hao unaowashabikia watakuvunjia yai.
Wewe walipokuwa wakikuvunjia hayo 'Mayai' umepata madhara yoyote labda? CCM ndiyo Chama 'Dola' na Magufuli ndiyo Rais halali wa Tanzania.
 
Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.

Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.

Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Upuuzi
 
Ni kweli upuuzi , kwani mlikodisha majeshi kutoka Burundi yasaidie kuiba kura na bado hamjayarudisha , au sasa mnataka yakulindeni na hasira za wananchi ???
Kuna kitu lazima kitokee nchini, muda utaongea.
 
Back
Top Bottom