The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 8,321
- 27,235
Umeelewa ila unakaza tu shingo na hii ni shida Watanzania tunayo hatusomi kuelewa tunasoma kubishana.Hueleweki...
Kwahiyo kushibisha tumbo la mtu (kumpatia pesa ya chakula) hujamsaidia hapo?
Nimesema ”haimsaidii zaidi ya kushibisha tumbo lake” kwamba baada ya kuila na kuisha haipo tena kwenye mikono yake ila ukimpa million akaenda kununua shamba utakuwa msaada endelevu,wapo watu kumpa mtu hata Tsh 500/= yao wanaona kama wanampa million.
NB:Hii ni kwa mujibu wa uelewa wangu binadamu tumetofautiana ufahamu!!!