Niliyotonywa baada ya kulonga na mwanajeshi LUGALO

Kunapotokea ajali yoyote kama ile ya Mabomu ya Mbagala, na baadaye kuundwa tume, matokeo ya tume hiyo yakawekwa siri, sasa inapotokea ajali kama ile ile bila taarifa rasmi ya nini chanzo, huwe ku rule out any conspiracy theory ndio maana wajeshi wao wakaikimbia kambi, walioukufa ni raia tuu.

Ila pia kwa jeshi letu na military inteligency yetu, wahusika watashikwa na court marshal itakaa na kuamua wa vanish into thin air!, as if they had never existed!.
 
lazima masikio ya mkwere yaliyoziba kwa nta za chuma yazibuliwe kwa mabomu, kilio cha wengi.......................,
 
Do!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kwanini watuangamize sisi tunao walipa mishahara kwa kodi zetu,wangemtwanga aliyewanyima,kama kweli hii ni nidhamu ya uwoga.
 
Mpaka sasa tumepata sababu zifuatazo:
1. Mabomu ya zamani
2. Wanajeshi walishauri raia wahame jirani na kambi wakapuuzwa, hivyo wakakasirika
3. Kukosa wataalamu wa kutunza
4. Wanatumiwa na wanasiasa
5. KIMONDO kilitua na kulipua
6. Walidai mshahara mnono wakaambiwa waongeze elimu
7. .............................................
8. .................................................
9. ......................................................

I love JF.
 
Hii habari na hizo hoja ni za kubuni, ya ama mtoa hoja au huyo "mwanajeshi".

Nimjuavyo Kikwete, hata iweje hana majibu ya dharau kwa amjuae na asiemjua.

Ewe mtoa hoja, kumbuka, uongo ni kitu kibaya hasa katika hali na janga kama hili lilitokuta wa-Tanzania wote.

Sasa hii hoja yako una maana Kikwete ndio aliyoyataka haya maafa?

Au unataka kutuambia tusiwa-amini wanajeshi wetu?

Siamini kama kuna mtu mwenye akili timamu aende akahujumu kusababisha vifo, majeruhi, hasara na mtafaruku kama huo eti kwa sababu tuu analipwa kidogo.
Wacha uzandiki.
 

you never know. Kwani septmb 11 yale majengo pacha ndo yalikusudiwa? Au ilikuwa ni njia ya kushinikiza jambo/kitu fulani? Nagasaki nako? Na Vp kuhusu 90 mnt of entebbe unataka kusema wale ile ndege iliyotekwa na pamoja na abiria wake ndo walikusudiwa?au ilikuwa ni shinikizo. TAFAKARI.
 
Kejeli ya Kikwete kwa wafanyakazi haitasahulika! na bado pia itamsumbua saaaaana! subiri Mei Mosi! si umeona kura za wafanyakazi zilivyoleta kizaa zaa SISIEMU?!
 
El toro! jifunze kupost threads fupi fupi! kwani members wa JF wengi ni members wa mitandao mingine ya kijamii duniani! tunaangaika huku na kule kupata newnews! hivyo lazima uwe brief and comprehensive!
 
dah.hi sasa ni huzuni.hatujiu tucmame kwenye whch sababu.ila kma kuhusu mishahara.me nahisi hao wanajeshi wanafikiria yao binafc maslah na hawaangalii ni yp maafa taifa linapata.thz z sad.Dear god help us.
 
Hii tread imejaa ulongo mtupu na hadithi ya kubuniwa. shaka kubwa ni kutaja Lugalo specifically. Kweli inawezekana kabisa lakini ilivyoletwa shaka kubwa.
 

Majimshindo if you meant what I have highlighted then humjui kikwete even if unadai unamjua. Kikwete hana majibu ya dharau? Basi neno dharau kwako lina maana tofauti na tunayoifahamu wengine which means itabidi utueleze unamaanisha nini ukisema kikwete hana dharau.Hivi ndio huyu aliwaita waajiri wake mbayumbayu na kuwaahidi virungu endapo watagoma kudai haki zao? Na ndio huyu aliyesema chanzo cha mimba za wanafunzi ni kiherehere chao? Hizi kama si dharau kwenye issues serious ni nini? Kikwete is the only president I know who is never serious no matter what! Pole yetu watanzania wa sasa na vizazi vijavyo maana gharama za inefficiency ya serikali hovyo hovyo ya kikwete italipwa na vizazi kibao vijavyo-its a plight actually sio masihara we are in serious problems here though kwa bahati mbaya wengi wetu hatuoni magnitude yake.
 

Kuna siku Mzee Kingunge aliwahi kuwaitwa waandishi wa habari pale maelezo akasema Dr Slaa ni muongo. Lakini hali ikabadilika kabisa ikaja kuonekana kuwa mwongo ni Kingunge na si Dr Slaa. Sasa hata kwenye hili ni vigumu kujua nani mkweli na nani si mkweli, tnayedhani ni mkweli anaweza kuwa si mkweli na tunayedhani mkweli tunaweza kudhani si mkweli. Lakini kati ya wote serikali ndio si wa kumwamibi kabisa.
 

jamani,hii mishahara ya maofisa wa majeshi iko juu mno kwa mfano constable wa polisi,magereza,uhamiaji au private wa jw hupokea basic salary 230,000 baada ya makato take home inabaki 180,000 huku ofisa mwenye nyota moja hupokea basic laki 5 take home kama laki 420,000.na kuanzia kamishna msaidizi hupokea 1milioni na laki moja au mbili.mfano kuna NAIBU KAMISHNA hupokea 1.96milion kwa mwezi.amesahau hata kubeba bunduki,sisi tunabeba bunduki kila siku lakini kamshahara kaduchu.mmmhh...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…