Niliyoota jana usiku kuelekea 9 Dec

Niliyoota jana usiku kuelekea 9 Dec

Kuelekea 9 DEC Nimeota maandamano yatakuwepo na maeneo yatakayoshambuliwa zaidi ni misikiti na makanisaa ila ni ndoto tuu ya kupuuzwa.
Na hiyo ndo njia pekee ya kumaliza hayo maandamano mara moja, viongozi wa makundi yote watakutana fasta na kuzungumzia lugha Moja ya AMANI na hapo utulivu utapatikana watu hawatoamini........haya madhila yote mnayoayaoni anayofanyiwa Samia ni UDINI tu hakuna jingine, hilo naweza hata kuapa. Ni udini tu.
 
Kuelekea 9 DEC Nimeota maandamano yatakuwepo na maeneo yatakayoshambuliwa zaidi ni misikiti na makanisaa ila ni ndoto tuu ya kupuuzwa.
Nimepita kinyerezi eti Polisi wamepaki gari pale BM Bar, tena gizani, nikawaza hawa wapumbavu si unaweza kuwarushia bomb tu na giza hili?
 
Lamri chonganishi, maeneo ya kushambuliwa ni ikulu ya samuya na police wa mbogamboga.
 
Back
Top Bottom