Ghorofa gani tenaKuliko lile ghorofa lako?!
Ghorofa gani tenaKuliko lile ghorofa lako?!
Huna shida ya ac au sio. Usingizi mzito kila leoHahaha. Yaani kitanda kipo katikati, upepo wa kutosha.
Hakuna joto kabisa. Tena kipindi hiki najifunika kwa blanketHuna shida ya ac au sio. Usingizi mzito kila leo
Safi....nitakuja pata ushauri wa ujenzi kwako nikishamalizana na shetani wa uzinziHakuna joto kabisa. Tena kipindi hiki najifunika kwa blanket
Hahaha. Huyo shetani lazima umkemee la sivyo utaishi naye mileleSafi....nitakuja pata ushauri wa ujenzi kwako nikishamalizana na shetani wa uzinzi
Pale kati patamu...vijana tunapataka wazee wanapatakaHahaha. Huyo shetani lazima umkemee la sivyo utaishi naye milele
Samahani mkuu,ningependa kufahamu upo mkoa gani na mpaka hatua hii imegharimu shilingi ngapi.Mi nimepaua hivo mkuu mahesabu mengine ya mita ngapi na ngapi siyajui kwa kweli ila geji ni 28 bati 80 na bei ni 2240000View attachment 2119237
Ushamalizia lile bungalow lako WittyNyumba ni maisha
Hahahahaha lipi hilo mkuu?Ushamalizia lile bungalow lako Witty
Si tulikubaliana huu mzigo upo floor ya kwanza(1st floor)January. Najua umeshaisha tayari.Hahahahaha lipi hilo mkuu?
Si tulikubaliana huu mzigo upo floor ya kwanza(1st floor)January. Najua umeshaisha tayari.View attachment 2426936
Dar ujenzi ni gharama acha kuwatia watu moyo pasipo ukweliWatu wa Dar mnapenda Sana kutisha Watu,nitakuja na picha ya nyumba ya mil.8
Mkuu inawezekana umejenga Hekalu na sio nyumba zetu hizi za kawaidaMimi vyumba vitatu kupaua tu na blandaring bati geji 30 migongo mipana imenipiga 12M
Gharama sana.yan usione mtu ana nyumba ya vyumnba 3 na akataka kupiga ile finishing nzuri tu mpaka mil 700 inakataDar ujenzi ni gharama acha kuwatia watu moyo pasipo ukweli
Daah jamani 700 millions kweli aisee, haya tuendelee kutafuta hela tunapigwa hiyo ni ghorofa kali kabsa.Gharama sana.yan usione mtu ana nyumba ya vyumnba 3 na akataka kupiga ile finishing nzuri tu mpaka mil 700 inakata
Daah jamani 700 millions kweli aisee, haya tuendelee kutafuta hela tunapigwa hiyo ni ghorofa kali kabsa.
Ruvuma,Njombe,Iringa,Mbeya,Rukwa,Kigoma na Katavi.