Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,152
- 15,604
hawajawah kushiriki tendo la ndoa.
Hey!!!
Rekebisha hapo siyo kila mmoja anayefanya ngono anafanya tendo la ndoa,hakuna kitu kinachoitwa kufanya “tendo la ndoa” kabla hajakuwepo/pitisha kiongozi wa Kiimani hivyo inapaswa uandike “hajazini naye/hajafanya naye ngono”.
That's it!