cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,628
- 137,313
Sawa pia.Hey!!!
Rekebisha hapo siyo kila mmoja anayefanya ngono anafanya tendo la ndoa,hakuna kitu kinachoitwa kufanya “tendo la ndoa” kabla hajakuwepo/pitisha kiongozi wa Kiimani hivyo inapaswa uandike “hajazini naye/hajafanya naye ngono”.
That's it!