britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Leo nikiwa hapa Russia nimepata kuongea na Afisa uhamiaji ambaye amesema taarifa anazotoa ni nyeti na wala serikali isingependa zijulikane kwa raia wake maana zitaonesha Udhaifu wake.
Tumejadili yafuatayo:
1. Kwanini ukienda Uhamiaji unaombwa Birth Certificate wakati umeshai submit kwenye NIDA application ya ID?
Kanipa maelezo ambayo nimeridhika
Maelezo yake:
"Kazi inayofanywa na NIDA kimsingi ilipaswa kufanywa na uhamiaji Tanzania, maana watu wengi sasa wana national ID ambao kiukweli si watanzania, pia ndio maana hatuziamini sana Taarifa za NIDA ndo maana tunajiridhisha, kimsing suala hili limefanywa kisiasa"
Akaendelea...
"Siku hizi ukienda kufungua akaunt NMB hakuna haja tena ya kubeba makaratasi ya Serikali za Mitaa wala vitambulisho, cha msingi ni NIN yaani ID number ambayo wanaweka kwenye Portal inayowalink na NIDA kupata taarifa zako, lakini hiyo inakuwa haina madhara sana kwa NMB, kuliko sisi kutumia Portal hiyo tutawapa wasiopaswa pass, inabidi zoezi hili la NIDA lifanywe na Uhamiaji"
Akamalizia kwamba:
"Hata serikali ukiwauliza watakupa sababu zisizo za msingi juu ya hili, lakini ukweli ni kwamba hatuziamini sana taarifa za NIDA maana wakimbizi wengi wanazo hizo ID"
Tumejadili yafuatayo:
1. Kwanini ukienda Uhamiaji unaombwa Birth Certificate wakati umeshai submit kwenye NIDA application ya ID?
Kanipa maelezo ambayo nimeridhika
Maelezo yake:
"Kazi inayofanywa na NIDA kimsingi ilipaswa kufanywa na uhamiaji Tanzania, maana watu wengi sasa wana national ID ambao kiukweli si watanzania, pia ndio maana hatuziamini sana Taarifa za NIDA ndo maana tunajiridhisha, kimsing suala hili limefanywa kisiasa"
Akaendelea...
"Siku hizi ukienda kufungua akaunt NMB hakuna haja tena ya kubeba makaratasi ya Serikali za Mitaa wala vitambulisho, cha msingi ni NIN yaani ID number ambayo wanaweka kwenye Portal inayowalink na NIDA kupata taarifa zako, lakini hiyo inakuwa haina madhara sana kwa NMB, kuliko sisi kutumia Portal hiyo tutawapa wasiopaswa pass, inabidi zoezi hili la NIDA lifanywe na Uhamiaji"
Akamalizia kwamba:
"Hata serikali ukiwauliza watakupa sababu zisizo za msingi juu ya hili, lakini ukweli ni kwamba hatuziamini sana taarifa za NIDA maana wakimbizi wengi wanazo hizo ID"