Niliwalaumu Uhamiaji bila sababu kuhusu utoaji Pasi za Kusafiria kutotegemea taarifa za NIDA. Aliyevuruga mfumo yupo, 20% wenye ID si watanzania

Enzi ya JK walipokuwa wanaenda kusajili ngazi ya mtaa/kata,majina yalikuwa yanabandikwa ubaoni kuona kama kuna pingamizi, siku hizi ni holela,unasajiriwa ngazi ya wilaya

Najua intelligence systems za nchi jirani zimeshacheza mchezo wao kupandikiza operatives wao
 
Hata wanafunzi wanaoomba mikopo wengi Wao si watanzania. Am very sure of this
Na wamepata , kuna na Mwingine ni askari Wa. Ngazi za Juu kabisa ni Mnyarwanda kakulia Ishozi , Katano, Bukoba, walihamia mwaka 1994
 
Umbea na uongo wa dhahiri, Eti umeambiwa na afisa uhamiaji, usichojua kule Nida ni lazima uhojiwe na uhamiaji na ndie anaesign upate kitambulisho..
Mleta mada acha uzandiki

Sent using Jamii Forums mobile app
We acha Upuuzi anayeongea ni Afisa uhamiaji wa Ngazi ya Juu kabisa, we unaleta ujinga, hivi unajua kuwa watu wa NIDA hasa siku za Jumapili wanajifungia ofisin kuwapa watu vitambulisho kwa kuwasajili visivyo?

Naishia hapa, maana
 
Lakini si hata wao bado wanafanya sensa; kwani hawafanyi?
Kila kitu kina sababu zake mbalimbali hata kama kuna hiyo 'integration' kati ya taasisi unayoisema.

Lakini naona katika kusoma taarifa hiyo kwenye 'website' uliyoweka hapo, baadhi ya uliyoeleza kwenye andiko lako sio sahihi. Yaani umetia jumvi!
Ujaelewa,endelea kuona jinsi walivyopata growth/population rate ya watu kwa mwaka uliopita.Wamechukua watu waliozaliwa nchi(hapa kwetu tungesema RITA ) wakatoa walio kufa(same RITA) waka add waliohamia nchini kwao (information from Immigration) ndio nasema wao everything ziko zinajisoma.Ukienda kuomba passport kwao cha kwanza wanakuuliza namba ya uraia basi everything inapatikana kwenye hizo namba sisi hapa each mamalaka inakuuliza the same docs uzi submit wakati zimetolewa na idara za serikali hiyo hiyo
 
Ujaelewa,endelea kuona jinsi walivyopata growth/population rate ya watu kwa mwaka uliopita.Wamechukua watu waliozaliwa nchi(hapa kwetu tungesema RITA ) wakatoa walio kufa(same RITA) waka add waliohamia nchini kwao (information from Immigration) ndio nasema wao everything ziko zinajisoma.Ukienda kuomba passport kwao cha kwanza wanakuuliza namba ya uraia basi everything inapatikana kwenye hizo namba sisi hapa each mamalaka inakuuliza the same docs uzi submit wakati zimetolewa na idara za serikali hiyo hiyo
Maelezo yako siyakatai...; lakini bado huelewi 'finer details za limitations' zinazohusu ubadilishanaji wa taarifa hizo toka taasisi mbalimbali ndani ya serikali hiyo hiyo.

Hiyo unayoiita "namba ya uraia" (Social Security Number) haiwapi "everything" kama unavyodai. Kuna basic info, ndio, lakini sio 'everything'.
 
Wote serikali.moja halafu hawaaminiani.Very interesting.NIDA Ofisi ya Serikali ,Uhamiaji Ofisi ya Serikali.Wote wanatoa document za Serikali halafu hawaaminiani!!!!!
 
Maelezo yako siyakatai...; lakini bado huelewi 'finer details za limitations' zinazohusu ubadilishanaji wa taarifa hizo toka taasisi mbalimbali ndani ya serikali hiyo hiyo.

Hiyo unayoiita "namba ya uraia" (Social Security Number) haiwapi "everything" kama unavyodai. Kuna basic info, ndio, lakini sio 'everything'.
Sasa hizo basic information ,ndio everything kwa taarifa yako hapa imetushida nini?kama cheti cha kuzaliwa lazima uzunguke nacho kwenye hizo idara zote
 
britanicca, Kama data za MIBA OF haziaminiki amejuaje wakimbizi wana ID za bongo? Hao wakimbizi huenda walifoji vyeti vya kuzaliwa, bongoland kufoji vyeti ni kawaida. Watu wana madigilii kama ndevu za kambale itakuwa kadi ya miba!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhamiaji wenyewe asilimia kubwa sio Watanzania na ushahidi upo

Sasa nani wa kulaumiwa.
 
Back
Top Bottom