Ngigana
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 2,102
- 1,436
britanicca,
Mheshimiwa Britanicca, hata huko uhamiaji pia bado hawatumii data za kweli. kwa sababu unaenda kuomba passport wanakuambia ulete cheti cha kuzaliwa cha baba au mama yako. baba alizaliwa 1937 au 1940. mimi sikuwepo alipozaliwa lakini wanakuambia utakipata hapa hapa. unajaziwa form na kuambiwa ukalipie stempu ya ushuru. huyo anayekudhamini kuwa alimwona baba yako akizaliwa unakuta ana miaka 20 alimwona wapi baba yangu? wonders will never end in this unforgetable Tanzania
Mheshimiwa Britanicca, hata huko uhamiaji pia bado hawatumii data za kweli. kwa sababu unaenda kuomba passport wanakuambia ulete cheti cha kuzaliwa cha baba au mama yako. baba alizaliwa 1937 au 1940. mimi sikuwepo alipozaliwa lakini wanakuambia utakipata hapa hapa. unajaziwa form na kuambiwa ukalipie stempu ya ushuru. huyo anayekudhamini kuwa alimwona baba yako akizaliwa unakuta ana miaka 20 alimwona wapi baba yangu? wonders will never end in this unforgetable Tanzania