Niliwaeleza baadhi ya wabunge CHADEMA hawarudi Bungeni mkabeza!

...aseee unamzungumzia Mdee !!??? bhahahaaaaa hunatofauti na jingalao kimawazo, watu tunapanga wizara gani ashike we unazungumzia kushinda ..?!! asee we hujielewi nenda kaombewe, bhahaaaaaa ....ngoja ninywe sprite baridiiiii....
 
Ni wazi kuwa wewe sio mfuatiliaji wa mambo..nakushauri ni heri ungekaa kimya tu

Wewe mfuatiliaji wa mambo ungeweka hapa hiyo CV.
Halafu sijakuomba ushauri nimeomba CV ya Janet kama huna ungekaa kimya.

Kwani wakati wa kupiga kura zitaambatanishwa na CV za wagombea?

Ni vyema kufahamu unamchagua mtu mwenye background ipi kielimu na kiuongozi.

Na mimi nataka CV ya Mbowe...

Ya Mbowe mbona ipo tovuti ya bunge na humu jamvini pia imo.

Kutokuwa na CV pia nayo ni CV tu,so sioni haja ya kutoa povu na visingizio
kibao.

Ubunge wenyewe unahitaji kujua kusoma na kuandika lakini ni vyema kufahamu ana kipi zaidi za wapinzani wake ikiwa pamoja na elimu na uzoefu katika of which ni muhimu kuvijua.
 
...aseee unamzungumzia Mdee !!??? bhahahaaaaa hunatofauti na jingalao kimawazo, watu tunapanga wizara gani ashike we unazungumzia kushinda ..?!! asee we hujielewi nenda kaombewe, bhahaaaaaa ....ngoja ninywe sprite baridiiiii....

Subiri viroba vipungue kichwani akili yako itakaa sawa.
 
Niliwaeleza baadhi ya wabunge wa CHADEMA hawatarudi bungeni mukabeza, sasa mumemuona huyo mgombea wa ACT-WAZALENDO wa Kawe?. Je Halima Mdee ana chake kweli?. Halima Mdee ni kati ya wabunge walioshinda ubunge kupitia mgongo/mvuto wa Dr.Slaa. Usiendelee kubeza wewe wapime Janeth na Mdee uone kama Mdee anafasi kubwa ya kujidai tena. Ukiacha ushabiki lolote laweza kutokea katika jimbo la Kawe.

Kuna mwanadada wa ADC Quenn naye mhh hatari
 
Watu humu mmekula buku kumi kumi zenu ili mfanye propaganda, kwa taarifa yenu wapiga kura hasa wale wa ukawa hawana uwezo wa kuingia humu kusikiliza hizo chai zenu.watanzania washafanya maamuzi. Tulieni mnyolewe
 
Wewe mfuatiliaji wa mambo ungeweka hapa hiyo CV.
Halafu sijakuomba ushauri nimeomba CV ya Janet kama huna ungekaa kimya.



Ni vyema kufahamu unamchagua mtu mwenye background ipi kielimu na kiuongozi.



Ya Mbowe mbona ipo tovuti ya bunge na humu jamvini pia imo.

Kutokuwa na CV pia nayo ni CV tu,so sioni haja ya kutoa povu na visingizio
kibao.

Ubunge wenyewe unahitaji kujua kusoma na kuandika lakini ni vyema kufahamu ana kipi zaidi za wapinzani wake ikiwa pamoja na elimu na uzoefu katika of which ni muhimu kuvijua.

Kwanini kama ni CV mnamchagua mtu kama Mbilinyi' na lema ..unahisi walikuwa na CV kwa maana ya CV ama basi tu
 
Watu humu mmekula buku kumi kumi zenu ili mfanye propaganda, kwa taarifa yenu wapiga kura hasa wale wa ukawa hawana uwezo wa kuingia humu kusikiliza hizo chai zenu.watanzania washafanya maamuzi. Tulieni mnyolewe

Maamuzi ni oktoba na msikimbie
 
HIVI kawe hakuna mgombea wa ccm naona kasaulika wanaongelea wa act? Makubwa haya duuuu. Kweli kifo chenu kibaya sijapata ona
 
Miaka yote wabunge walikuwa ccm je kipi kipya mlicho fanya si afadhali upinzani ambao wanawasemea wananchi kuliko wazee wa ndiyoooooooooooooo
 
Niliwaeleza baadhi ya wabunge wa CHADEMA hawatarudi bungeni mukabeza, sasa mumemuona huyo mgombea wa ACT-WAZALENDO wa Kawe?. Je Halima Mdee ana chake kweli?. Halima Mdee ni kati ya wabunge walioshinda ubunge kupitia mgongo/mvuto wa Dr.Slaa. Usiendelee kubeza wewe wapime Janeth na Mdee uone kama Mdee anafasi kubwa ya kujidai tena. Ukiacha ushabiki lolote laweza kutokea katika jimbo la Kawe.

mdee ni habar nyingne kalale
 
Janeth yupi yule aliyemuua.mume wake il apate muda wa kubanjuliwa na eskeriot?''::::
Acha na.yy asndikize kabla ya tatzo linalomkabili haljamzdia
 
Niliwaeleza baadhi ya wabunge wa CHADEMA hawatarudi bungeni mukabeza, sasa mumemuona huyo mgombea wa ACT-WAZALENDO wa Kawe?. Je Halima Mdee ana chake kweli?. Halima Mdee ni kati ya wabunge walioshinda ubunge kupitia mgongo/mvuto wa Dr.Slaa. Usiendelee kubeza wewe wapime Janeth na Mdee uone kama Mdee anafasi kubwa ya kujidai tena. Ukiacha ushabiki lolote laweza kutokea katika jimbo la Kawe.

Uko huru kumpigia debe mgombea umpendae, ila unachekesha unapojidanganya
 
Back
Top Bottom