Sio wewe tu una mawazo ya ubunifu, watu wengi tu wanamawazo ya ubunifu ila kuyafanya yawe bidhaa nalo ni jambo la ubinifu..Hata USA, China kuna watu wengi tu wanakufa na bunifu zao.Mwaka 2021 mwanzoni wakati janga la covid 19 limeshika Kasi na tahadhari zikitolewa ikiwemo kujiweka umbali wa kutosha baina ya mtu na mtu na kuvaa barakoa...
Kwa hio mtu anaweza ficha ubunifu kumbe hauna tija.Ndio naabs COSTEC walimpotezea.Huwezi tengeneza kifaa et cha kusense mtu alie katika ukaribu wa mita mbili nikanunua wakati namuona hata kwa macho be smart kijana sapoti zipoo.
🤝🏻🤝🏻🤝🏻Sawasawa mkuu asante kwa mawazo yako