Nilivyotumiwa laki 7.5 kimakosa

Nilivyotumiwa laki 7.5 kimakosa

Muuza viatu

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2020
Posts
3,839
Reaction score
7,924
Ilikuwa mwez wa 11 nilishangaa ujumbe kwenye simu yangu kutoka tigo nikifahamishwa kupokea laki 7 unusu kutoka namba ya wakala.

Kwa wakati ule biashara zilikuwa zinatembea sana kwa hiyo ile pesa haikunipa tamaa kiviile nikaachana nayo nikaendelea na shughuli zangu nikisubiri jamaa wasitishe muamala ili niondokane na ile zahma.

Mwezi wa kwanza mwishoni soko liliungua na mimi nikaunguliwa biashara zangu zote.

Baadhi ya jamaa zangu wakawa wananitumia pesa ili niweze kujiweka sawa na hapo nikastaajabu kumbe ile pesa ambayo niliamini ilitumwa kimakosa bado ipo.

Kutokana na uhitaji wa pesa kuwa mkubwa kutokana na kutokuwa na biashara nikajikuta ile pesa naanza kuipigia hesabu na nikajiwekea lengo kuwa ikifika mpaka mwez wa nne tarehe 15 ule muamala haujasitishwa basi ile pesa nitaitumia.

Na kwel hiyo siku ilifika nikaenda kwa wakala nikatoa kwa njia ya "Lipa" na nikaitumia vizuri tu.

Huwezi amini mwezi wa 7 nikapigiwa simu naitwa central polisi saa mbili asubuhi niwe nimeshafika.

Asubuhi na mapema nipo kituoni hadi yule askar alinishangaa kwa namna nilivyofika mapema, nikaambiwa kosa langu na mimi nikawaelezea kilichotokea mwishowe ikakubalika kuwa wote wawili tuna makosa kwa hiyo tukae chemba tuyajenge.

Tumekubaliana nilipe laki kila mwezi mpaka deni litakapoisha na sikusita kumshukuru kwa kunikopesha pesa yake ilhali hanifahamu tena bila riba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikua mwez wa 11 nilishangaa ujumbe kwenye simu yangu kutoka tigo nikifahamishwa kupokea lak7 unusu kutoka namb ya wakala.

Kwa wakat ule biashara zilikua zinatembea sana kwa hiyo ile pesa haikunipa tamaa kiviile nikaachana nayo nikaendelea na shughul zangu nikisubir jamaa wasitishe muamala ili niondokane na ile zahma.

Mwez wa kwanza mwishon soko liliungua na mim nikaunguliwa biashara zangu zote.

Baadh ya jamaa zangu wakawa wananitumia pesa ili niweze kujiweka sawa na hapo nikastaajabu kumbe ile pesa ambayo niliamin ilitumwa kimakosa bado ipo.

Kutokana na uhitaj wa pesa kuwa mkubwa kutokana na kutokuwa na biashara nikajikuta ile pesa naanza kuipigia hesabu na nikajiwekea lengo kuwa ikifika mpaka mwez wa nne trh15 ule muamala haujasitishwa basi ile pesa nitaitumia.

Na kwel hiyo siku ilifika nikaenda kwa wakala nikatoa kwa njia ya "Lipa" na nikaitumia vzr tu.

Huwez amin mwez wa7 nikapigiwa simu naitwa central polisi saa mbili asubuh niwe nimeshafika.

Asubuh na mapema nipo kituon hadi yule askar alinishangaa kwa namna nilivyofika mapema,nikaambiwa kosa langu na mim nikawaelezea kilichotokea mwishowe ikakubalika kuwa wote wawil tuna makosa kwa hiyo tukae chemba tuyajenge.

Tumekubaliana nilipe laki kila mwez mpaka deni litakapoisha na sikusita kumshukuru kwa kunikopesha pesa yake ilhal hanifaham tena bila riba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana siku hizi mtu akituma hela kimakosa unakuwa sio uzembe wake tunapelekana polisi?
 
Ilikua mwez wa 11 nilishangaa ujumbe kwenye simu yangu kutoka tigo nikifahamishwa kupokea lak7 unusu kutoka namb ya wakala.

Kwa wakat ule biashara zilikua zinatembea sana kwa hiyo ile pesa haikunipa tamaa kiviile nikaachana nayo nikaendelea na shughul zangu nikisubir jamaa wasitishe muamala ili niondokane na ile zahma.

Mwez wa kwanza mwishon soko liliungua na mim nikaunguliwa biashara zangu zote.

Baadh ya jamaa zangu wakawa wananitumia pesa ili niweze kujiweka sawa na hapo nikastaajabu kumbe ile pesa ambayo niliamin ilitumwa kimakosa bado ipo.

Kutokana na uhitaj wa pesa kuwa mkubwa kutokana na kutokuwa na biashara nikajikuta ile pesa naanza kuipigia hesabu na nikajiwekea lengo kuwa ikifika mpaka mwez wa nne trh15 ule muamala haujasitishwa basi ile pesa nitaitumia.

Na kwel hiyo siku ilifika nikaenda kwa wakala nikatoa kwa njia ya "Lipa" na nikaitumia vzr tu.

Huwez amin mwez wa7 nikapigiwa simu naitwa central polisi saa mbili asubuh niwe nimeshafika.

Asubuh na mapema nipo kituon hadi yule askar alinishangaa kwa namna nilivyofika mapema,nikaambiwa kosa langu na mim nikawaelezea kilichotokea mwishowe ikakubalika kuwa wote wawil tuna makosa kwa hiyo tukae chemba tuyajenge.

Tumekubaliana nilipe laki kila mwez mpaka deni litakapoisha na sikusita kumshukuru kwa kunikopesha pesa yake ilhal hanifaham tena bila riba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nilengee moka zilizonyooka kuna elfu 20 hapa anytime. Nina shughuli inabidi nile moka ukipata zile za mng'ao flani kama LV sio mbaya mguu wangu 42!
 
Kuna mtu alinitumia laki kupitia CRDB kuja mpesa.. Akanipigia simu kisha nikamrudishia hapohapo hakuamini akabaki kushukuru maana aliniambia nimrudishie japo kiasi nikamtumia yote.

Halafu kuna jamaa nikamkopesha 5m akapotea.. ila siku inakuja atailipa tu.
 
Sijaona kosa lako apo kwani ulimuomba akutumie
Kuna jamaa huko Marekani yeye aliingiziwa kimakosa karibia milioni 100 kwenye akaunti yake. Bila ajizi avuta mkwanja na cha kwanza akaenda kununua BMW kalii.. Na matanuzi mengine. Baada ya mwezi akadakwa mwisho wa siku kupigwa jela miaka mitano, gari kanyanganywa na mali zingine.. Tamaa mbaya
 
Kuna jamaa huko Marekani yeye aliingiziwa kimakosa karibia milioni 100 kwenye akaunti yake. Bila ajizi avuta mkwanja na cha kwanza akaenda kununua BMW kalii.. Na matanuzi mengine. Baada ya mwezi akadakwa mwisho wa siku kupigwa jela miaka mitano, gari kanyanganywa na mali zingine.. Tamaa mbaya
Mbona hujatoa credit kwa chanzo cha habari yako?
 
Ilikua mwez wa 11 nilishangaa ujumbe kwenye simu yangu kutoka tigo nikifahamishwa kupokea lak7 unusu kutoka namb ya wakala.

Kwa wakat ule biashara zilikua zinatembea sana kwa hiyo ile pesa haikunipa tamaa kiviile nikaachana nayo nikaendelea na shughul zangu nikisubir jamaa wasitishe muamala ili niondokane na ile zahma.

Mwezi wa kwanza mwishoni soko liliungua na mim nikaunguliwa biashara zangu zote.

Baadh ya jamaa zangu wakawa wananitumia pesa ili niweze kujiweka sawa na hapo nikastaajabu kumbe ile pesa ambayo niliamin ilitumwa kimakosa bado ipo.

Kutokana na uhitaji wa pesa kuwa mkubwa kutokana na kutokuwa na biashara nikajikuta ile pesa naanza kuipigia hesabu na nikajiwekea lengo kuwa ikifika mpaka mwez wa nne trh15 ule muamala haujasitishwa basi ile pesa nitaitumia.

Na kwel hiyo siku ilifika nikaenda kwa wakala nikatoa kwa njia ya "Lipa" na nikaitumia vzr tu.

Huwezi amin mwezi wa7 nikapigiwa simu naitwa central polisi saa mbili asubuh niwe nimeshafika.

Asubuh na mapema nipo kituon hadi yule askar alinishangaa kwa namna nilivyofika mapema,nikaambiwa kosa langu na mim nikawaelezea kilichotokea mwishowe ikakubalika kuwa wote wawil tuna makosa kwa hiyo tukae chemba tuyajenge.

Tumekubaliana nilipe laki kila mwez mpaka deni litakapoisha na sikusita kumshukuru kwa kunikopesha pesa yake ilhal hanifaham tena bila riba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilishawai nitokea hii sema bank ilikuwa equity.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom