Jini mtuu
Member
- May 22, 2022
- 45
- 53
Naitwa Mohammed bin issa. Limo.(ubini)
Mshangao wa jina la ukoo huu sio wewe to unae shanga kila Alie kua na elimu ya tafasiri ya majina na asili yake aliniuliza maswali .
Imekuaje wewe unaitwa limo wakati jina lako na baba yako wote inaonekana ni waislamu ..??
Au baba yako alibadilisha dini..!??
Hapana limo NI jina la ukoo tuu kama majina mengine.
Sawa watu wanakubali wengine kishingo upande lakini maisha yanakwenda.
Usumbufu huu wa swali hili halikukomaa.
Mara kwa mara.
Nilisikia wengine wakiitaa limoo Kama unavyo jua majina ya ukoo hayafi kutoka na mzee wangu mzee issa kuitwa mtaani mze limo mara kwa mara.
Nilizaliwa 6.6 1996. Siku ya alhamisi saa sita usiku
Kwa mujibu wa mzazi wangu wa kike(mama)
Mwaka huo. Wa kuzaliwa kwangu ilisemekana ulikua mwaka wa mwisho wa(umiani & na chinja chinja wachuna ngozi. Na wanyonya damu)
Baadhi ya mikoa ya Tanzania.
Huku sakata Hilo likioneka kuoneka jipya sehemu nyingine.
Kufupisha stories..
Maisha yaliendelea hivyo hivyo.
.wakati natimiza miaka Saba 7
Nilikua maarufu sna kwa ugomvi wizi uuonezi.ubishi uchongashi yaani vuruguu.tuuu
ilifika mahala nikawa Natengwa na watoto wa Rika langu.
Nilikanywa Sanaa kuhusu kua mtulivu lakini wapii
nilikua mmbishi hatari kiasi Cha kumfanya mzee aweze kwenda kwa mganga ili tuu nitulizwe kitalaaam.
Walifanya hivyo
Lakini wapi ndio kwanzaa wameongeza mafuta kwenye ya taa kwenye Moto.
Ilibidi nishindikane maana hata shule yenyewe ikawa kwa mbinde kwenda.
Ikafika mahala niliacha kabisaa..
Na nyumbani nikahama..kwakua nilihisi wananione kabisaa.
Kuna siku nilikutana na na Kaka yake Stanley alinikimbiza na kunikamata alinipa kipigo Cha paka chongo na mbwa mwizi.
Mpka akaniteua mguu
Nilienda kusema nyumbani lakini hawakuniskilizaa kabisaa
Zaid ya kunipaa laaana ..
"Ndio ukome ipo siku tukukute maiti tupumzike..
mtoto gani usie sikia weee ...!?
Bora ufee tuu tujue moja hebu njoo... hapaaa ....kumaninaa weeee mwana mtoka pabaya mwana izzaya wewe yani hili Toto ingekua hiari yangu ningeliuzaaa mbwa kasoro mkia "..
Mama huyoo alionge kwa jazba.
huku akirusha ndala na mwiko.na masuguria ya kusongea ugali ili ajaribu bahati yake ya kunipata..
Nilitoka nduki kukwepa japo nipigwa na mwiko wa kichwa kwakua mguu wangu ulikua hauko sawa..
Stanley alikua matoaka shamba nikamwambia nitakuroga na kukuua Kama huwezj kunipa hiizi ndizi na hayo maji ..
Kwa hofu aliokua nayo Stanley alishindwa kukimbia Wala kubisha alinipa vyote. Nikamwambia alela pale pembeni ya kichaka ili watu wapita njia wasije wakatuona ..
Akafanya hivyoo. Nikula ndizi maana zilikua zimeivaa na nilimuaru asinyanyue macho yake kunitamaza.
Nilikua nimevua shati Niko pekupeku kupitia shati hilo nilijifunga kininja ili wasije eti kunigua Kama NI Mimi.
Basi alichezea bakora za kutosha nikimtaka asilie Wala kwenda kusema..
Baada ya hapo aliondoka na majera ya kutosha alama za fimbo za matakoni na mgongoni nijionea Raha.
Nikahama na kwenda sehemu nyingine.
Nilianza akua sasa gaidi pori was Kijiji .
Kwakua tukio langu la kwanza kujulikana NI lile la kumuukiza Stanley.. wakati natafutwa na wanakijiji zaidi ya siku 3 mfululizo bila mafanikio nilikua narudi nyumbani kulala kwenye zizi la wanyama mbuzi asubuhi kabla hakuja pambazuka vizuri napote .. na kuwatia hasara.
Siku hiyo ya ya nne ndio nikakutana na Kaka yake Stanley mchana kweupe njiani. Aliitwa ftank matola.
Nilihama kabisaa kikijijini ikawa ndio mwanzo na mwisho wa kuwaona wazazi wangu nikiwa Nina hiyo miaka 7.mpaka 8..
Nitokomea pasipo julikana ilisemekana walitafuta kwa hofu kua Huenda nikawa nimeuawa.
Ndio kuyokana na tabia zangu mbaya ilipita wiki ah siku kadhaaa ndio narudi nyumbani.
Lakini kwa safarii hiii
Imepita miezi Sasa na sio kawaida yangu..
Nilikutana na mdada kabisaa jinaye mfahamu kwa jina la betrece ambae mama yake alikua na urafiki na mama yangu.
Kwahiyo niliambiwa nimuite dada na yeye aniite Kaka.
Kaka limo vepe unakwenda wapi sahizi usiku wote huuu.
Aliniuliza kwa taharuki....
"Natafuta mbuzi wetu amepote."
Nilimjibu"
nimjibu huku niiwa nachapa chapa majani kwa fimbo.yangu niyo mchapia Stanley
Lakini kutokana na tabia zangu alijua kabisa nimempanga...
"Aaah.... "Basi sawa mi nakwenda nyumbani nisindike naoogopa pekee yangu" alisema huku anaona Kama aibuu..
Nikamwambia twendee ila siifiki mbali mi nitaishia palee kwenye ule mtii karibu na nyumba ya kina John maduvoo.
Akaniambia sawa ...
Wakati tumeenza safari nilikua makini kukamatwa niishi kimachale sana .. ilibidi nimuache Kama hatua kumi au nane nyuma. Ndio Mimi. Nafuta..
Kumbuka ilikua usiku kwa uzoefu wa akili za Kijijini Kama saa nne hivi yeye alidai ameyoka kuchukua kitabu vcha masomo so unajua Tena nyumba za vijijini moja hapa nyingine kuleee..
Basi wakati anakunja Kona kufika ile sehemu alipo kunja yeye siku monaaa ndio mbara mwezi ilikua kubwa ikiwaka Sanaa Tena baaada ya ile Kona njia ilee ilinyooooka Kama. Imechorwa kwa rulaaa
Laniki sikuomana yule dada... Betrece..
TUSIBIRI PART 2..
THANKS
Mshangao wa jina la ukoo huu sio wewe to unae shanga kila Alie kua na elimu ya tafasiri ya majina na asili yake aliniuliza maswali .
Imekuaje wewe unaitwa limo wakati jina lako na baba yako wote inaonekana ni waislamu ..??
Au baba yako alibadilisha dini..!??
Hapana limo NI jina la ukoo tuu kama majina mengine.
Sawa watu wanakubali wengine kishingo upande lakini maisha yanakwenda.
Usumbufu huu wa swali hili halikukomaa.
Mara kwa mara.
Nilisikia wengine wakiitaa limoo Kama unavyo jua majina ya ukoo hayafi kutoka na mzee wangu mzee issa kuitwa mtaani mze limo mara kwa mara.
Nilizaliwa 6.6 1996. Siku ya alhamisi saa sita usiku
Kwa mujibu wa mzazi wangu wa kike(mama)
Mwaka huo. Wa kuzaliwa kwangu ilisemekana ulikua mwaka wa mwisho wa(umiani & na chinja chinja wachuna ngozi. Na wanyonya damu)
Baadhi ya mikoa ya Tanzania.
Huku sakata Hilo likioneka kuoneka jipya sehemu nyingine.
Kufupisha stories..
Maisha yaliendelea hivyo hivyo.
.wakati natimiza miaka Saba 7
Nilikua maarufu sna kwa ugomvi wizi uuonezi.ubishi uchongashi yaani vuruguu.tuuu
ilifika mahala nikawa Natengwa na watoto wa Rika langu.
Nilikanywa Sanaa kuhusu kua mtulivu lakini wapii
nilikua mmbishi hatari kiasi Cha kumfanya mzee aweze kwenda kwa mganga ili tuu nitulizwe kitalaaam.
Walifanya hivyo
Lakini wapi ndio kwanzaa wameongeza mafuta kwenye ya taa kwenye Moto.
Ilibidi nishindikane maana hata shule yenyewe ikawa kwa mbinde kwenda.
Ikafika mahala niliacha kabisaa..
Na nyumbani nikahama..kwakua nilihisi wananione kabisaa.
Kuna siku nilikutana na na Kaka yake Stanley alinikimbiza na kunikamata alinipa kipigo Cha paka chongo na mbwa mwizi.
Mpka akaniteua mguu
Nilienda kusema nyumbani lakini hawakuniskilizaa kabisaa
Zaid ya kunipaa laaana ..
"Ndio ukome ipo siku tukukute maiti tupumzike..
mtoto gani usie sikia weee ...!?
Bora ufee tuu tujue moja hebu njoo... hapaaa ....kumaninaa weeee mwana mtoka pabaya mwana izzaya wewe yani hili Toto ingekua hiari yangu ningeliuzaaa mbwa kasoro mkia "..
Mama huyoo alionge kwa jazba.
huku akirusha ndala na mwiko.na masuguria ya kusongea ugali ili ajaribu bahati yake ya kunipata..
Nilitoka nduki kukwepa japo nipigwa na mwiko wa kichwa kwakua mguu wangu ulikua hauko sawa..
Stanley alikua matoaka shamba nikamwambia nitakuroga na kukuua Kama huwezj kunipa hiizi ndizi na hayo maji ..
Kwa hofu aliokua nayo Stanley alishindwa kukimbia Wala kubisha alinipa vyote. Nikamwambia alela pale pembeni ya kichaka ili watu wapita njia wasije wakatuona ..
Akafanya hivyoo. Nikula ndizi maana zilikua zimeivaa na nilimuaru asinyanyue macho yake kunitamaza.
Nilikua nimevua shati Niko pekupeku kupitia shati hilo nilijifunga kininja ili wasije eti kunigua Kama NI Mimi.
Basi alichezea bakora za kutosha nikimtaka asilie Wala kwenda kusema..
Baada ya hapo aliondoka na majera ya kutosha alama za fimbo za matakoni na mgongoni nijionea Raha.
Nikahama na kwenda sehemu nyingine.
Nilianza akua sasa gaidi pori was Kijiji .
Kwakua tukio langu la kwanza kujulikana NI lile la kumuukiza Stanley.. wakati natafutwa na wanakijiji zaidi ya siku 3 mfululizo bila mafanikio nilikua narudi nyumbani kulala kwenye zizi la wanyama mbuzi asubuhi kabla hakuja pambazuka vizuri napote .. na kuwatia hasara.
Siku hiyo ya ya nne ndio nikakutana na Kaka yake Stanley mchana kweupe njiani. Aliitwa ftank matola.
Nilihama kabisaa kikijijini ikawa ndio mwanzo na mwisho wa kuwaona wazazi wangu nikiwa Nina hiyo miaka 7.mpaka 8..
Nitokomea pasipo julikana ilisemekana walitafuta kwa hofu kua Huenda nikawa nimeuawa.
Ndio kuyokana na tabia zangu mbaya ilipita wiki ah siku kadhaaa ndio narudi nyumbani.
Lakini kwa safarii hiii
Imepita miezi Sasa na sio kawaida yangu..
Nilikutana na mdada kabisaa jinaye mfahamu kwa jina la betrece ambae mama yake alikua na urafiki na mama yangu.
Kwahiyo niliambiwa nimuite dada na yeye aniite Kaka.
Kaka limo vepe unakwenda wapi sahizi usiku wote huuu.
Aliniuliza kwa taharuki....
"Natafuta mbuzi wetu amepote."
Nilimjibu"
nimjibu huku niiwa nachapa chapa majani kwa fimbo.yangu niyo mchapia Stanley
Lakini kutokana na tabia zangu alijua kabisa nimempanga...
"Aaah.... "Basi sawa mi nakwenda nyumbani nisindike naoogopa pekee yangu" alisema huku anaona Kama aibuu..
Nikamwambia twendee ila siifiki mbali mi nitaishia palee kwenye ule mtii karibu na nyumba ya kina John maduvoo.
Akaniambia sawa ...
Wakati tumeenza safari nilikua makini kukamatwa niishi kimachale sana .. ilibidi nimuache Kama hatua kumi au nane nyuma. Ndio Mimi. Nafuta..
Kumbuka ilikua usiku kwa uzoefu wa akili za Kijijini Kama saa nne hivi yeye alidai ameyoka kuchukua kitabu vcha masomo so unajua Tena nyumba za vijijini moja hapa nyingine kuleee..
Basi wakati anakunja Kona kufika ile sehemu alipo kunja yeye siku monaaa ndio mbara mwezi ilikua kubwa ikiwaka Sanaa Tena baaada ya ile Kona njia ilee ilinyooooka Kama. Imechorwa kwa rulaaa
Laniki sikuomana yule dada... Betrece..
TUSIBIRI PART 2..
THANKS