William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Ni kama sharti la kwanza kuwa kocha Simba ni kuacha kumtumia Chama.
Kila kocha anayepewa timu isipokuwa ngunda tu hujaribu kutomtummia.
Ukweli ni kuwa chama hana mbadala wake kutoka africa hii labda tumsajili sadio Mane.
Kwanini Chama akae nje dk 60 kumpisha onana? Viongozi hawajitambui. Mkimpa kocha timu msimpe na majungu.
Alivyosema siangalii majina na huko nyuma nikajua Chama atakoma........
Uongozi unaweka chuki sana na wachezaji wasiowagaia mishahara. Okra, Sacko, Banda wameondoka wakiwa bora mno kuliko onana, cramo, ngoma
Kila kocha anayepewa timu isipokuwa ngunda tu hujaribu kutomtummia.
Ukweli ni kuwa chama hana mbadala wake kutoka africa hii labda tumsajili sadio Mane.
Kwanini Chama akae nje dk 60 kumpisha onana? Viongozi hawajitambui. Mkimpa kocha timu msimpe na majungu.
Alivyosema siangalii majina na huko nyuma nikajua Chama atakoma........
Uongozi unaweka chuki sana na wachezaji wasiowagaia mishahara. Okra, Sacko, Banda wameondoka wakiwa bora mno kuliko onana, cramo, ngoma