Kwa hiyo tulianza na Nchi 1, Serikali 2 baadaye Nchi 2, Serikali 2 na sasa tunaelekea kwenye Nchi 1, Serikali 1, lakini kwa kuvunja Muungano! Kweli Waafrika tumelaaniwa maana wakati mataifa makubwa yanaungana, (hata Crimea ilivyojitenga na Ukraine imeungana na Russia), vinchi vidogo vidogo vya kiafrika vinatengana!