desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,289
- 5,468
Kweli ni kama una cash halafu mashine haifanyi kaziNi kweli mkuu,ukiwa na afya njema ndio kila kitu,hebu jaribu kufikiria una mamilioni ya pesa halafu unaumwa,kwa siku sio chini ya vidonge kumi hapo kuna faida gani,hapo unaweza hata kutamani utajiri wote uondoke ili ubaki na afya njema,cha muhimu ni kumtanguliza Mungu katika kila jambo ili atujalie maisha yenye afya njema kila wakati...