Nilipona kupata UKIMWI nikapata TB

Nilipona kupata UKIMWI nikapata TB

Kipindi fulani nilikuwa na mahusiano na mwanamke na nililala nae mara nyingi. Mara mwisho wa siku nilikuwa kituo cha ctc Kama prescriber mara paap mwanamke yule huyu hapa na faili lake la ctc. Kucheki viral load 'not detected' nikaenda kupima negative. Nikadharau kabisa kitu kinaitwa vvu.
 
Kama hujawahi kupitia hiyo hali mtu anaweza asiamini. Binafsi niliwahi kuwa na mahusiano na mtu wa aina hiyo alikuwa tayari na maambukizi. Na niliingia kwenye mahusiano kwa kuhisi mimi pia si mzima maana nilipita sehemu zisizofaa. Lakini tulipoachana nilipata ujasiri wa kwenda kupima, kuanzia hapo maisha yangu yalibadilika sana.

Uhai na afya ni zawadi kubwa sana,toka hapo pamoja na muda mwingine kucheza rafu nyingi saana ila kupima na kujitambua ni muhimu sana.
kabisa mkuu, maana wengine kuumwa kichwa tu ni shida je uambiwe umeze dawa maisha yote, Ile hali unafanya unakosa umaana wa maisha yani unalipua lipua kilakitu hujali chochote
 
Kipindi fulani nilikuwa na mahusiano na mwanamke na nililala nae mara nyingi. Mara mwisho wa siku nilikuwa kituo cha ctc Kama prescriber mara paap mwanamke yule huyu hapa na faili lake la ctc. Kucheki viral load 'not detected' nikaenda kupima negative. Nikadharau kabisa kitu kinaitwa vvu.
akiwa hatumii dawa ni hatari ila kujaribu sio Sawa kabisa. Hongera kwa kuwa sawa, usawa ni mali
 
Ni Mungu tu
Mtu anapima Leo anakuwa negative anajiapisha weee kwamba harudii tena lakini baada ya mwezi anauza mechi tena.
Sex iache tu iitwe sex
mzabzab
Ah wee acha tuu kwanza kumwaga nje ni dhambi...wacha tuu tugegedane hayo mambo ya kujiapisha mie wala sijisumbuhi. Kugegedana raha bwana. Vipi wikend wajirusha wapi
 
Safi pale ulipoanguka pawe funzo maishani UKIMWI upo ningekuwa sio mvivu kuandika ningeuliza uma wa wanajf ila ndiyo hivyo tena kuandika ni mvivu na pia ni mtu wa hisia sana kiasi nikianza kuandika najihisi maumivu naquit

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushauri Mungu ni mwema sikuzote mkuu, anatusamehe hata pale tusipostahili msamaha. Sitasahau
 
UKIMWI mnaoutafsiri haupo bali ni njama ya Wamagharibi kufanya biashara ya madawa kupitia Uongo wa madhaifu ya kibaolojia.

Ukimwi si gonjwa bali ni Upungufu wa kinga mwilini unaoweza kusababishwa na sababu mbalimbali mfano
-lishe duni
-udhaifu wa kinga ya mwili
-maradhi ya mara kwa mara
-matumiz ya wadawa yenye madhara kwa muda mrefu
-magonjwa nyemelezi
hivi ndio visababishi vya kitu kinachoitwa , UKIMWI yaan Upungufu wa kinga mwilini.

sasa kuumwa kuna kuja vipi?, kuumwa kunakosemekana kuwa ni ukimwi kunakuja pale ambapo mtu atakumbwa na sabbu mojawapo ya hizo sababu na kuanza kuugua, na hata kupona kwake kutategemea matibabu ya dalili za kisababishi cha ugonjwa huo.

mfano, kama sababu ni lishe duni, basi tiba itakuwa ni kupata mlo kamili kwa mgonjwa mpka kinga yake ya mwili itakapokaa sawa.

na kama ni magonjwa nyemelez kama vile TB na mengineyo basi tiba itakuwa kuyatibu hayo mpka mtu anapona.

na kuhusu suala la kusema ukimwi unaambukizwa hii inakuja hivi, mfano mtu fulan ana Upungufu wa kinga mwilin uliosababishwa na magonjwa nyemelez ambayo huambukizwa kutoka mtu mmoja mpka mwngine, basi mtu huyu atakapongonoka na mtu aliye salama, ataweza kumuambukiza ugonjwa wake, either Tb kwa mgusano wa majimaji, kaswende, kisonono na hata U.T.I na mtu huyu atakayeambukizwa gonjwa hili akienda hospital akipimwa kipimo kinachopima wingi wa selihai mwilin ama kipimo cha Ukimwi ataonekana kapungukiwa kinga mwili, maana mtu unapovamiwa na gonjwa lazma seli hai zipungue kwa kushambuliwa, hivyo kipimo hicho cha KISHENZI badala ya kuonesha gonjwa husika, kitaleta majibu kuwa mtu huyo kaathirika na ana ukimwi+gonjwa aliloambukizwa.

hivyo tiba yake kulingana na SAYANSI YA KISHETANI itabidi atibiwe gonjwa aliloambukizwa na kupewa madawa ama kuanzishiwa ratiba ya kumeza madawa wanayoita kufubaza virusi(hapa ndipo penye biashara) maana kinachofubazwa si virus bali kinga zako, ili ziwe dependence kwenye madawa, na ukiyaacha lazima uathirike kwa kufa(watasingizia ukimwi umekuuwa kumbe uteja wa kukosa madawa yao).

BACK TO THE TOPIC, sasa ugumu unakuja pale ambapo mtu aneyesemekana kuishi na Virusi vya ukimwi kufanya ngono na watu wengine bila kuwaambukiza hii inategemeana na kisababishi cha Upungufu wake wa kinga kama nilivoeleza hapo juu, kuwa kama mtu huyu kayapata maradhi ya ukimwi kwa sababu ya lishe duni ama madawa yaliyoharibu kinga zake, basi hawezi kumuambukiza mtu mwingine hayo maradhi(ukimwi) na kama aliyapata kutokana na magonjwa yaambukizwayo ama kuenezwa toka kwa mtu mmoja hadi mwingine, basi hapa ndipo mnaita muathirika huyo anaweza eneza ugonjwa wenu wa UKIMWI( NON EXISTING).

UKWELI NI KWAMBA, ukimwi mnaosimuliwa na hao walimu wenu na matabibu wenu wa Uongo waliosoma elimu ya uongo na tiba za uongo kutoka kwa Mzungu, wamefanikiwa kuwaharibu akili na kuwajaza hofu.

ukimwi ungekuwa na Nguvu ama ungekuwepo kizazi hiki kingepotea chote kama sio kupungua, mnajua kwann leo hii watu , hawafi kwa ilo gonjwa lenu kama zamani? sabab zaman Media zilikuwa chache hivyo kupotosha jamii ilikuwa rahisi, na hata watu wakifa sababu ya vipindupindu ama homa na Tb walisingizia ukimwi ili kuupa Attention na kujaza hofu jamii.

Ukimwi si gonjwa bali ni dalili za vienezi ama visababishi vya upungufu wa kinga mwili, hivyo basi visababishi hivyo vinaweza kuwa Ugonjwa ama si ugonjwa na Vinatibika wala havihitaji madawa ya muda mrefu, na visababishi hivi vinaweza kuenezwa toka kwa mtu mwingine ama isiwe hivyo, iyo kutokana na sababu yake kama nilivyoeleza hapo.

WAZUNGU wakishilikiana na Mashetani ama majitu ya kiafrika yaliyoamua kumsaliti muafrika mwenzake yaliamua kuupotosha ukweli huu ili kuangamiza jamii na kuifanya Elimu ya tiba kuwa biashara, badala ya msaada, just imagine kwa dunia ya leo iliyojawa technolojia na kila aina ya tiba na uvumbuzi ilishindikana vipi kupunguza magonjwa ama kuyatokomeza licha ya kukuwa kwa secta ya afya na viwanda vya madawa kila kukicha.

hata Afrika hapa mahospital na pharmacy zinaanzishwa kila siku, lengo si kutibu ama kupunguza magonjwa bali lengo ni KUFANYA BIASHARA.

Biashara hii ina vita sana ndiomaana ni ngumu kutokomeza uhalamia huu wa kuharibu afya xa watu, maana madalali wamejaa kila sehem, na madalali wenyewe ni ninyi wenyewe mnaosomeshwa Sayansi ya uongo ili muukubali uongo na kuisambaza kwa wenzenu mashulen, vyuoni na FINALLY mnahamishia practically mahispitalini kwnye miili ya watu.

UKIMWI unatibika na hauuwi watu kama mnavyodanganywa na hauenezwi kwa ngono wala kushare damu, bali itategemeana na sabbu ya uwepo wake.

nihitimishe kwa kusema, Waafrika tujitahidi kusoma mambo nje ya box, ikiwezekana soma elimu iliyo nje ya mitaala ya kikoloni, utagundua mambo makubwa sana
 
Endelea kusema ni siasa, siku ukiyakanyaga utakuja kufuta ujinga wako ulioandika
 
Habarini wakuu.

Nimekuja kutoa mrejesho wa thread yangu iliyopita.
Unaweza soma apa

Kwanza nitoe shukrani kwa kutiwa moyo kwani kipindi nilichopitia kilikuwa kigumu sana kwangu, pia nakiri hapa nitakwepesha na sitataja tarehe na mwez sahihi kuficha kujulikana.

Kipindi nimekuja kuomba msaada kuhusu yule binti, nilikuwa sina uhakika asilimia 100, kwani yeye hakutamka kwa kunywa chake ila alikwepa kupima. Miezi miwili iliyofuata nikaanza kutoka jasho usiku kichwani na mwili wote, yani nashtuka nakuta jasho jingi sana kichwani na mwilini. Sikutilia manani maana mchana niliendelea kuwa sawa kabisa.

Mwezi uliyofatia nilikutana tena kimwili na yule binti nimuite Catherine. Baada ya kukutana naye week 2 mbele nilianza umwa tena mafua na kichwa. Nikameza tu Panadol na Prednisolone vikatulia, ila homa za usiku zikarejea kwa kasi sana.

Japo nilikuwa naumwa ila niliendelea kwenda vibaruani kama kawaida. Kuna siku niliumwa sana usiku na asubuhi nilishindwa amka, nikapiga simu kibaruani, dereva wa ofisi akaja, akanipeleka hospitali yeye akaondoka zake.

Nikaingia kumuona daktari nikiwa hali mbaya sana, nikamuelekeza ninavyojisikia, akashtuka kidogo nilivyotaja ninavyojisikia hasa homa za usiku. Akaniuliza direct una mpenzi na mmewahi kupima pamoja? Hapo ndiyo nilipochanganyikiwa na kuhisi balaa lililopo mbele yangu, utulivu wote ulipotea.

Nikamjibu nina mpenzi na natarajia mwakani nianze kufanya taratibu za kujitambulisha rasmi nyumbani kwao. Pia nikamjibu sijawahi kupima naye na kiufupi nilimuamini sana Catherine.

Doctor akaniambia inabidi nipimwe ukimwi na magonjwa ya kuambukiza yote na TB pia. Nikapima nikijua tayari nimeathirika, lakini majibu yakatoka sina ukimwi, sina magonjwa yoyote ya kuambukiza ila nina TB.

Nikaanza kutumia dawa na hadithi za ukimwi nikazisahau, sasa baada ya mwezi binti alifiwa tukasafiri pamoja hadi Songea, usiku tukawa pamoja nikafanya tena ngono usiku ule bila kinga kwa kumuamini binti.

baadae tukarudi mjini na mambo mengine yakaendelea, ajabu mwezi uliofuata nikaumwa tena sana na siku niliyoamka vibaya nikagutuka labda binti ndie chanzo. Nikamuomba tukapime alikubali lakini baada ya dakika 5 mbele akauliza, "Hivi kwa mfano mpenzi wako ana HIV aliachiwa na mama yake lakini anatumia dawa, je, utamkubali?"

Nikashtuka sana na nikajua tayari nimeukwaa kwani nikavuta picha ya matukio fulani ya binti kutokuwa huru kujibu maswali fulani fulani nikaogopa sana. Mfano huyu binti ni mzuri sana ila kasoro yake 1 alama za vidonda miguuni japo vipo mbali sana, siku nimemuuliza alipataje akawa hayupo huru kujibu akahamisha mada.

Alivyoniuliza hivyo nilichanganyikiwa sana wakuu, nikajuta sana. Hapo nilikuwa naumwa na kichwa kinakizunguzungu kikali sana, lakini nikajikaza hadi hospitali kupima nikijiambia nikikutwa na HIV basi nitajitoa duniani kwani nisingeweza kuvumilia maumivu na shida zote za HIV.

Nilienda hospital siku hiyo ilikuwa ya 44 toka nilipokutana naye kimwili. Nikapima nikiwa na kizunguzungu na maumv ya mwili, majibu yakatoka negative. Nikaja hapa JF kuomba ushauri, nikatiwa moyo na wengine wakanitisha zaidi, ila niliendelea kupima na hali yangu ya kizunguzungu na maumivu ilizidi nikazidi changanyikiwa.

Nilipima tena siku ya 50, 60, 70 zote nikawa negative kabisa lakini bado hofu ilinishika na nikazidi teseka na kukonda ghafla. Nilisubiri hadi zikafika siku 91 nikaenda hospital nikapima kipimo kikubwa nikawa safi na nikarudi kupima kipimo kidogo cha bioline siku ya 95 nikawa safi.

Week tatu mbele binti nilimblock lakini alinitafuta kwa namba nyingine nikamwambia msimamo wangu ni aweke wazi hali yake au anipoteze daima, binti akaniambia ukweli alizaliwa nao lakini anatumia dawa na ni ngumu sana kuupata akaomba msamaha.

Nilimsamehe binti kwani niliona najiweka tu katika mateso, lakini sikurudiana naye na sitarudiana naye japo nimemuweka wazi kuwa awe huru na anapokwama ananiambia namsaidia. Baada ya siku 97 kupita hali yangu ikawa sawa na maumivu yakaisha na nikarudi kuwa sawa kabisa,

Ushauri wangu: Vijana tuwe makini sana, binti alizaliwa nao, wengi huwa wanakuwa vizuri na wanakuwa wazuri sana na shape nzuri sana huwezi mdhania, na hata akikupenda sana ni ngumu sana kukwambia kwa hofu kuwa utamtangaza au utamuacha.

Nimejifunza elimu ya jinsia nikiwa na miaka 34, sasa nimekuwa na nimejua thamani ya maisha na upendo wa Mungu. Mungu ni msamehevu sana, amenisamehe na kuniokoa mara 2 zote. Asanteni.
Kama kweli unampenda nichek 0712505049 namtibu kabisa anapona bei laki tano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom